Nipo mpaka Hapo Mgombea Ubunge ila nadhani hujanielewa
nimemaanisha get tugetha ya JF members kwa wale walioko nyumbani TZ ya kuaga mwaka. nadhani nimechemsha kuweka kwenye thread hii au nimepatia au ningeweka kwenye entertainment ila yote kheri.
Asante kwa maoni
Niponimemaanisha get tugetha ya JF members kwa wale walioko nyumbani TZ ya kuaga mwaka.i
Tatizo mkialikwa mnakula kona juzi hapa imetangazwa wee watu mkala kona
Tupange eneo la kukutana tuliopo hapa dar es salaam.
Na waliopo sehemu nyingine wajiorganise.
Kwa tulio dar es salaam tupange venue...
Na kwa kuwa hatutambuani siku hiyo ya kukutana wote tuvae nguo nyeupe, ili iwe rahisi hata kuulizana kama wewe ni mwana jamvi
sasa si majukumu yalizidi na wewe mbona hivyo
Ile IDEA ya kuchinja mbuzi na ng'ombe TEGETA imekufa???
Ila sisi kama kawa. Lazima tuuage mwaka kama kawa. Wakila kona wapwa tunajichanganya kama kawaida yetu. Mi naona tukauagie mwaka Bagamoyo!
Bagamoyo si mlienda juzi kati hapo wajameni si tufanyie tu hapa mjini
ha ha h ahahah!Hehehe! Mpwa umerudi. Kule hata hutaki kunusa tena.
aidia nzuri,Ile IDEA ya kuchinja mbuzi na ng'ombe TEGETA imekufa???
aidia nzuri,
lakini inapofika point WATU WAZAME MIFUKONI!hahahahahah!lol
AIBU
Ngoja mtoa wazo ataje sehemu. Haya tuambie mama, wapi?
NANIHII kule kunaitwaje tena kule nimesahau jina lake
kwenye hii njia ya whitesands kuna hotel nilienda muda kidogo ilikuwa nzuri na affordable msosi na drinks jina limenitoka lakini si girrafe