Masaki
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 3,463
- 752
Dah! Mi nashukuru sijawahi kuachwa... Though najiandaa kuacha mtu...
It's so sad!!!
Hii thread inaanza kunifanya nijifikirie mara mbili...
What goes around, comes around. Mwenzio nilikuwa naona sifa kuacha acha watoto wa watu, siku nilipoachwa niliona dunia chungu!
Kuachwa ni kama msiba, yaani bora usikie kwa mwenzio tu!