Nyamayao
JF-Expert Member
- Jan 22, 2009
- 6,966
- 2,350
sio wote waliachwa kwa kuwa na makosa Mnyalu wangu weee!!!
hapo sasa...mie jamaa yangu alizaa na mwanamke mwingine b4,mama yake had insured interest na familia y amwanamke aliyezaa na mwanaye, ikabidi amlazimishe kuoa huko (simtoi hatiani jamaa though) so some of us didnt do nothing wrong kabiaa ndo maana tulitaka kupoteza maisha!!!
heee pole deaarest, mie niliachwa solemba kabisa, tupo dinner kwa raha zetu, story kama kawaida, amani tele...kesho yake namcal jamaa, jamaa hapokei, sms hazijibiwii, cal cal na wee naona akaona nazidisha usumbufu akanitoea kubwa" mie naona tuishie hapa tu nyamayao, kila mtu afanye maisha yake"...bila kuambiwa sababu na cjui sababu mpaka kesho, ameckia nyamayao anaolewa anacal anajidai shetani alimpitia nimsamehe ye ndio anastahili kuwa mume wangu.....khaaa, alikuja kunitia machoni nasukuma tumbo mbele.......