Kuachwa na msichana unaye mpenda kwa dhati

Kuachwa na msichana unaye mpenda kwa dhati

bampami

JF-Expert Member
Joined
Nov 5, 2011
Posts
5,700
Reaction score
4,126
Ukijitoa kumpenda mtu na kumpa kila kitu, halafu huyo mtu akashndwa kujua jinsi gani anapendwa na wewe akakuumiza, hupaswi kujilaumu.

Anapaswa yye kujilaumu kwa kukosa kusoma alama za nyakati kwamba anapendwa na mtu sahihi na anapewa mapenzi sahihi .

Atakuja kujua baadae sana kwamba kuna mtu sahihi aliwahi kumpenda kwa usahih na yeye hakuwa na macho ya kuliona penzi hilo kwa usahihi.

Usilie wala kujilaumu ukikumbana na watu wa namna hii, tafuta mtu mwingine mmwagie huba la kufa mtu, ipo siku utakutana na mtu atakaeona penzi lako na atalipokea kwa miguu na mikono yote huku akitabasam.

HUU NI USHAURI WANGU TU BROTHER USIUZUNIKE SANA.
 
Umeongea vizr na kitu sahihi. Lakin tatizo moja tu huo uandishi wa facebook unauleta kwa GT
 
yes bro!u have said the truth,ni kama unazungumza na mimi kibinafsi, nimefanyiwa ivo aisee, lakini poa maneno yako yamenifariji japo sijui hata nianzaje upya
 
Hii ni moja ya mada nzuri kupata kutokea hapa MMU, umeeleza katika falsafa rahisi sana kueleweka.

Nimependa mtazamo wako mkuu na watu wote wajifunze.
 
Haya mambo sometimes tunalaumu bure. Even if u loved her truly, how do u know u r the right guy for her? Kama u r the right guy for her y couldn't u make her see that? Mi nnavyojua kama mtu ni right person atajulikana tu.
Sometimes ukiachwa just walk away knowing it was just a bad business, it happens in life
 
Ukijitoa kumpenda mtu na kumpa kila kitu, halafu huyo mtu akashndwa kujua jinsi gani anapendwa na wewe akakuumiza, hupaswi kujilaumu.

Anapaswa yye kujilaumu kwa kukosa kusoma alama za nyakati kwamba anapendwa na mtu sahihi na anapewa mapenzi sahihi .

Atakuja kujua baadae sana kwamba kuna mtu sahihi aliwahi kumpenda kwa usahih na yeye hakuwa na macho ya kuliona penzi hilo kwa usahihi.

Usilie wala kujilaumu ukikumbana na watu wa namna hii, tafuta mtu mwingine mmwagie huba la kufa mtu, ipo siku utakutana na mtu atakaeona penzi lako na atalipokea kwa miguu na mikono yote huku akitabasam.

HUU NI USHAURI WANGU TU BROTHER USIUZUNIKE SANA.

kweli ningekuwa na mamlaka ningekutunuku shahada ...................huuuuu ni ukweliiiiiiiii blaaaaa
 
Yah uko vizuri sema hata wahusika wausome ujumbe huu najua yataingilia sikio la kushoto na kutokea kulia
 
ushauri mzuri kama huu adimu kutokea..thex much mkuu...
 
Kujifariji muhimu but maumumivu ya kuachwa na umpendae kwa dhati yasome tu humu jamvini ila yasikukute
 
.ukweli uko hasa pale bampami anaposema "tafuta mtu mwingine mmwagie huba la kufa mtu," ila kwenye kujilaumu inaweza ikakulazimu ujilaumu kwani mapenzi/mahusiano yana uwanja mpana sana, na kulingana na makuzi tofauti twajikuta tukiwa na imani tofauti na utendaji tofauti, najua wengi twafahamu "HAKUNA JAMBO LIFANYIKALO PASIPO KUWA NA NISHATI/NGUVU INAYOLIPELEKEA JAMBO HILO LAFANIYIKE NAMNA LIONEKANAVYO NA KWA WAKATI HUO" ko bado naamini kama nimeachwa au nimeacha LAZIMA kuna ushiriki wangu katika kulifanya tukio litendeke aidha kwa njia iliyo wazi au isiyo wazi, nimesema hivi kwasababu si lazima sana mtu aliyekuacha akalazimika kujilaumu "KUNA WATU HUWAACHA WAPENZI WAZURI ALAFU HUPATA WAPENZI WAZURI ZAIDI NA MAISHA KUWA MATAMU ZAIDI" ataanzia wapi kujilaumu mtu kama huyu?..
 
Back
Top Bottom