Monda kubwa
Senior Member
- Jun 20, 2019
- 121
- 158
Nilikuwa na mpenzi wangu ambaye tulikaa kama miezi minne. Baadae naona alipata mtu ambaye aliona alikuwa sahihi kwake kuliko mimi. Dada na vitimbi na visa kibao nikaamua kuachia nafasi kwa moyo safi kabisa. Kuna mambo nilikuwa nimemsaidia, nilimnunulia mpaka simu na mambo mengi tu.
Baada ya kumuambia kuwa najua hanipendi kwa hio acha niende zangu, alikaa kimya kwa siku mbili halafu akaniandikia message, ikawa inasema "hujaja kwangu kuchukua vitu flan flan?" Nilijibu kistaarabu kabisa "Mimi kwako sijaja" sikuelewa alikuwa na maana gan mpaka sasa. Ila katika vitu vinavyonishinda ni kuachana na mpenzi wako na kuanza kuchukua vitu. Naamini kabisa nipata zaidi ya nilichopoteza. Binadamu mnasema je?
Baada ya kumuambia kuwa najua hanipendi kwa hio acha niende zangu, alikaa kimya kwa siku mbili halafu akaniandikia message, ikawa inasema "hujaja kwangu kuchukua vitu flan flan?" Nilijibu kistaarabu kabisa "Mimi kwako sijaja" sikuelewa alikuwa na maana gan mpaka sasa. Ila katika vitu vinavyonishinda ni kuachana na mpenzi wako na kuanza kuchukua vitu. Naamini kabisa nipata zaidi ya nilichopoteza. Binadamu mnasema je?