afrodenzi
Platinum Member
- Nov 1, 2010
- 18,145
- 9,207
Mpasuajipu, umenena vyema sana hapo juu! Wanawake huwa wanaboa sana kurudia rudia kuulizia the very same thing, inachoshaga sana!
Next level down
Mpasuajipu, umenena vyema sana hapo juu! Wanawake huwa wanaboa sana kurudia rudia kuulizia the very same thing, inachoshaga sana!
Raha ni kwamba siogopi kuachwa!Kujua kwamba the man is good for nothing itanisaidia kujiona mimi ndo mshindi kwa kutokua nae!Ntamsalimia!sori nimemfuta..spaceahaaa sasa nimekuelewa, kumbe tatizo sio kuja kuvunjika mahusiano tatizo ni kuja kumfence na mahoja yake mwenyewe alioyatoa. Je kama jamaa ni hatibreka na he dont giv a damn anataka akuingize line tu? hauoni hata ukija ukiwa na masababu ya kutosha wakati wa kuvunjika mahusiano still itakuwa imekula kwako?
utakuta umelala nae yeye halaf anakuuliza ex wako akilala alikuwa hakoromi? , ole wako ujibu alikuwa hakoromi, msala unaanza .dah!Mpasuajipu, umenena vyema sana hapo juu! Wanawake huwa wanaboa sana kurudia rudia kuulizia the very same thing, inachoshaga sana!
ntakuwezesha utaweza, si unaona lizzy hata hajaolewa anaulizia divorce. khaaa!Dahh mie nta weza kweli kusubiri
Ntakulipa mara mbili zaidi ukija mapema
Maana si wajua tena ile safari ya kwenda mwezini
ni wiki hii lol
Hahahaha!Na ukisema alikua anakoroma unaulizwa sasa kwanini hukumwacha?Ulikua unalalaje na mtu anaekoroma?utakuta umelala nae yeye halaf anakuuliza ex wako akilala alikuwa hakoromi? , ole wako ujibu alikuwa hakoromi, msala unaanza .dah!
Embu nunua solar kwanza uachanetna mgao!Mwenyewe kuna kitu nataka kweli kukuuliza...wakikurudishia nishtue tuchonge mwaya!
ntakuwezesha utaweza, si unaona lizzy hata hajaolewa anaulizia divorce. khaaa!
ntakuwezesha utaweza, si unaona lizzy hata hajaolewa anaulizia divorce. khaaa!
unajua kila siku zikienda nazidi kufall in love na majibu yako. nikifa naomba unimiss.Unoko tu!Kwani mtu asipokua na mtoto ndo asipende kujua malezi?Najiandaa ili siku tukichokana nisisahau kutia sahihi kwenye talaka ili asije akaenda mahakamani kudai kaibiwa mke asiemtaka!
hehehe cheka bana! ukinuna sana yale mamikunjo ya uso yanakuja vodafasta halaf mamek up yenyewe yamepanda bei. usije ukala divorce kwa sababu ya mamikunjo ya uso.Muhimu kujua hivi vitu mpendwa
Borea hata ameuliza kwa niaba zetu wote
Daahhh lakini umenichekesha eti hata hajaolewa
Ndo maana kila niki nuna natafuta poster zako
Iwe isiwe lazima ni cheke mwenye..
sounds crazy haa lol
sasa hapa tunadanganyana! kuna mdada alimwambia mkaka flani kama hivi. kuna siku walivamiwa na majambazi mdada alichomokea dirisha la chooni akamuacha mkaka wa watu akauwawa kikatili sana. hii habari ilirushwa KBC TV KenyaNikumiss tu?Sio nikufate!?
sasa hapa tunadanganyana! kuna mdada alimwambia mkaka flani kama hivi. kuna siku walivamiwa na majambazi mdada alichomokea dirisha la chooni akamuacha mkaka wa watu akauwawa kikatili sana. hii habari ilirushwa KBC TV Kenya
sasa JF atabaki nani? acha nitangulie tu. wewe utanianzishia sredi ya kuniita shujaa la JF.Hehehehe!Duh!Noma!Ila mi sijasema ntafanya hivyo nimeuliza kama unataka!
toba! acha nipige muniwoka kama maiko jakson kidogo. hakyanani nimefanya ganzi la shingo ghaflaMtu 30elfu itabaki!I don't wanna miss Klorokwini!You are my medicine!
hivi na wewe lini utajua kuread btn zem lines bana. yaani mpaka wanga washtuke.Sasa ndo umefurahii au umeogopa?