Kuachana alafu ex anaanza kukuponda

Kuachana alafu ex anaanza kukuponda

popoo kuranyi

Member
Joined
Nov 30, 2017
Posts
10
Reaction score
4
Hivi umekaa na mpenzi miaka mitatu unamlaaa kilaaa siku vizuri tuu, mnaachana anaanzaa ooh unakibamiaaa, Oooh huwezi mapenzi sijui nini matusi kibao kisa umemuudhi

Kuna mtu aliniambiaa ukiona umemuacha demu anaendelea kuongea juu ya wewe ujue anakupendaaa hivi ni kweli??
 
Ivi umekaa na dem miaka mitatu unamlaaa kilaaa siku.... Vizur tyu mnaachana anaanzaa ooh unakibamiaaa.... Oooh huwez mapenz sijuinn matusi kibao kisa umemuudhi kuna mtu aliniambiaa ukiona umemuacha demu anaendelea kuongea juu ya ww ujue anakupendaaa ivi ni kwel??


Eti "Vizuri tyu" yaani siku hizi ni ngumu sana kutofautisha uandishi wa kiume na wa kike!!..
 
Ivi umekaa na dem miaka mitatu unamlaaa kilaaa siku.... Vizur tyu mnaachana anaanzaa ooh unakibamiaaa.... Oooh huwez mapenz sijuinn matusi kibao kisa umemuudhi kuna mtu aliniambiaa ukiona umemuacha demu anaendelea kuongea juu ya ww ujue anakupendaaa ivi ni kwel??
Shule zimefunguliwa lakin bado mnatuma utumbo wa bata.hiyo shule unayosoma "hawana marufuku ya matumizi ya sikanu!!!???
 
Mmeshaachana huo muda wa kumfuatilia unautoa wapi badala ugange yajayo.

Au ndio ile ukikaa kazi yako kuangalia status za whatsapp ameandika nini baada ya hapo unajitafsiria mwenyewe. Wacha hizo.
 
Eti "Vizuri tyu" yaani siku hizi ni ngumu sana kutofautisha uandishi wa kiume na wa kike!!..
Mkuu hao wanaume wa Dar. Dume la mkoani anaweza sema hivyo?. Madume wa mikoani utasikia nimemla kinyama au kishenzi au nimemla ile balaa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom