Kua mkweli aisee πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Kua mkweli aisee πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Manyanza

Platinum Member
Joined
Nov 4, 2010
Posts
19,918
Reaction score
45,485
FB_IMG_1736410536563.jpg
 
Nje ya mada kidogo hivi kwanini Milard aliongeza jina la Muwenju kwenye kujitambulisha redioni?. Kila nikimsikiliza namkumbuka Izack Gamba maana ndio mtangazaji aliyekuwa na hilo jina kwa kumbukumbu zangu.
 
Nje ya mada kidogo hivi kwanini Milard aliongeza jina la Muwenju kwenye kujitambulisha redioni?. Kila nikimsikiliza namkumbuka Izack Gamba maana ndio mtangazaji aliyekuwa na hilo jina kwa kumbukumbu zangu.
Anadai Isack Gamba ndio alimfungulia dunia .Sasa analitumia hilo jina kumpa heshima.Chanzo yeye mwenyewe huyo Millard a.k.a kichwa kikubwa kama mkubwa wa siafu.
 
Back
Top Bottom