Ku unlock website zilizofungiwa

Ku unlock website zilizofungiwa

mkweli wa mambo

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2013
Posts
329
Reaction score
180
Mambo vp wadau,ndugu, jamaa na marafiki
Leo naomba msaada mmoja tu kutoka kwenu, ni jinsi gani nita unlock website zilizofungiwa,kwa mfano maofisini utakuwa website kama facebook,youtube n.k huwezi kuzipata, please naombeni msaada wenu.

Angalizo: msinifikirie vibaya mkaniona napenda kuchat tu nikiwa kazini badala ya kufanya kazi,ni muhimu sana haswa kwasisi tunaofanya kazi sehemu ambazo hata simu za mkononi haturuhusiwi kuingia nazo.
thanks in advance.
 
maana kiukweli napata shida mnoo,hata yahoo kwa ajili ya kusoma emails na kuwasiliana na watu nashindwa...yaan ni kama jela vile simu huna kuanzia 11:00 asubuh mpaka 12:00 jioni
 
Mambo vp wadau,ndugu, jamaa na marafiki
Leo naomba msaada mmoja tu kutoka kwenu, ni jinsi gani nita unlock website zilizofungiwa,kwa mfano maofisini utakuwa website kama facebook,youtube n.k huwezi kuzipata, please naombeni msaada wenu.

Angalizo: msinifikirie vibaya mkaniona napenda kuchat tu nikiwa kazini badala ya kufanya kazi,ni muhimu sana haswa kwasisi tunaofanya kazi sehemu ambazo hata simu za mkononi haturuhusiwi kuingia nazo.
thanks in advance.
Najua hayo mambo ya kufungiwa yamefanyika kwenye main server, kama unauwezo wa ku-access computer ya main server nipm ili nikueleze jinsi ya kufanya hacking ili uweze kupata hizo website bila taabu yoyote.
NB:Kama huwezi kuwa na access ya main server wala usijisumbue mkuu
 
Ok unacho takiwa kufanya hapo ingia kwenye window - system32 forder-etc kuna host,protocal,network, ww ingia kwenye host angalia huu mpangilio alafu sema kuna mpangilio gani humo.
 
Ingia google.com andika unblock website pronxy..kisha fungua moja wapo na uitumie kuingia kwenye mtandao wowote uliofungwa.
 
Mambo vp wadau,ndugu, jamaa na marafiki
Leo naomba msaada mmoja tu kutoka kwenu, ni jinsi gani nita unlock website zilizofungiwa,kwa mfano maofisini utakuwa website kama facebook,youtube n.k huwezi kuzipata, please naombeni msaada wenu.

Angalizo: msinifikirie vibaya mkaniona napenda kuchat tu nikiwa kazini badala ya kufanya kazi,ni muhimu sana haswa kwasisi tunaofanya kazi sehemu ambazo hata simu za mkononi haturuhusiwi kuingia nazo.
thanks in advance.

download na Install program moja wapo kati ya hizi
  • Expat shield free Vpn
  • Ultrasurf
  • Security KISS
au tumia free web proxy ya HIDE MY ASS au TunnelGuru
kama hautomind basi nitafute nikuelekeze BURE kwenye PC yakO
 
Ingia google.com andika unblock website pronxy..kisha fungua moja wapo na uitumie kuingia kwenye mtandao wowote uliofungwa.
poa joto hasira ,ngoja kesho nikiend job ntafanya ivo,maana ni computer za kazini
 
download na Install program moja wapo kati ya hizi
  • Expat shield free Vpn
  • Ultrasurf
  • Security KISS
au tumia free web proxy ya HIDE MY ASS au TunnelGuru
kama hautomind basi nitafute nikuelekeze BURE kwenye PC yakO
kudownload ntaweza sema tatizo linakuja kuinstall,maana ukitaka kuinstall kitu chochote unambiwa uingize username na password ya adminstrator,na ivo vitu wanajua watu wa IT wa kampuni tu
 
Hapo unatumia standard account kwa hiyo huwei kuweka program cha kufanya weka admistrator user mambo yanaenda vizuri
 
chagua kazi au kuchat? yani muda wa kazi unataka uanze kuchat. nyie ndio mnaolalamika shirikisho la EAC litapokonya ajira zenu
 
piga kazi. kwenye mshahara tenga 40k ya bundle ya mwezi.
Kama hauwezi si vibaya ukatafuta kazi bora kuliko kuwasumbua IT department.
Na kama ni cyberoam sahau bypassing...!
 
chagua kazi au kuchat? yani muda wa kazi unataka uanze kuchat. nyie ndio mnaolalamika shirikisho la EAC litapokonya ajira zenu

Mm huu ukiritimba ndo si pendi maana kuna Ofice wanablock hadi email hizi sasa huo si Ukuda
na nn maana ya Internet sasa kama unanipa afu unaniwekea vikwazo vyote
Point nyingine ku-chat sio kitu kibaya na kama unajielewa mtu mzma, mtoto wa kiume na 2 balls kuchat hakuwezi zuia efficiency yako ya kazi
 
Mm huu ukiritimba ndo si pendi maana kuna Ofice wanablock hadi email hizi sasa huo si Ukuda
na nn maana ya Internet sasa kama unanipa afu unaniwekea vikwazo vyote
Point nyingine ku-chat sio kitu kibaya na kama unajielewa mtu mzma, mtoto wa kiume na 2 balls kuchat hakuwezi zuia efficiency yako ya kazi

kama unaona masharti hayo ya kazi uwez acha kazi tena wewe inaonekana kazi ya internet cafe inakufaa ili uchat vizuri.

kila sehemu ya kazi ina utaratibu wake ukitaka uishi vizuri unavyotaka ujiajiri kama mimi. ukishindwa heshima kaz uliyonayo. ukiwa nyumban au muda ambao si wa kaz ufungue email na fb hiyo
 
Ok unacho takiwa kufanya hapo ingia kwenye window - system32 forder-etc kuna host,protocal,network, ww ingia kwenye host angalia huu mpangilio alafu sema kuna mpangilio gani humo.
Unaongea vitu usivyovijua. Jifunze Server zinavyo control clients/resources.
 
kama unaona masharti hayo ya kazi uwez acha kazi tena wewe inaonekana kazi ya internet cafe inakufaa ili uchat vizuri.

kila sehemu ya kazi ina utaratibu wake ukitaka uishi vizuri unavyotaka ujiajiri kama mimi. ukishindwa heshima kaz uliyonayo. ukiwa nyumban au muda ambao si wa kaz ufungue email na fb hiyo

Ok nimekuelewa lkn hayo masharti ndo tunayablock sasa hapa leo na link tushampa...Maana hatupo katika PROFESSIONALISM AND ETHICS bali kushare technolojia na bahati mbaya hatuna Jukwaa la Maadili tungekuwa uko tunadiscuss
 
Hapo unatumia standard account kwa hiyo huwei kuweka program cha kufanya weka admistrator user mambo yanaenda vizuri

Basi search google "List of Free Proxy sites" zitakuja kama 1000 chagua moja ndio uwe unatumia ku unblock hizo sites!!
 
Mambo vp wadau,ndugu, jamaa na marafiki
Leo naomba msaada mmoja tu kutoka kwenu, ni jinsi gani nita unlock website zilizofungiwa,kwa mfano maofisini utakuwa website kama facebook,youtube n.k huwezi kuzipata, please naombeni msaada wenu.

Angalizo: msinifikirie vibaya mkaniona napenda kuchat tu nikiwa kazini badala ya kufanya kazi,ni muhimu sana haswa kwasisi tunaofanya kazi sehemu ambazo hata simu za mkononi haturuhusiwi kuingia nazo.
thanks in advance.

ushauri wangu heshimu sheria za kazi yako. achana na mambo yasiyohusiana na kazi hasa muda wa kazi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom