Infopaedia
JF-Expert Member
- Oct 28, 2011
- 1,231
- 1,495
Bado naangalia.
Simple sana, siyo jibu fafanuasimple sana
NB:Kama huwezi kuwa na access ya main server wala usijisumbue mkuu
Sio kweli mkuu. Rejea matumizi ya proxy.
Mambo vp wadau,ndugu, jamaa na marafiki
Leo naomba msaada mmoja tu kutoka kwenu, ni jinsi gani nita unlock website zilizofungiwa,kwa mfano maofisini utakuwa website kama facebook,youtube n.k huwezi kuzipata, please naombeni msaada wenu.
Angalizo: msinifikirie vibaya mkaniona napenda kuchat tu nikiwa kazini badala ya kufanya kazi,ni muhimu sana haswa kwasisi tunaofanya kazi sehemu ambazo hata simu za mkononi haturuhusiwi kuingia nazo.
thanks in advance.