Inakuwa vizuri tu kama kawaida sababu pale unakuwa umeunlock code tu....!!
Naomba kuuliza ukitumia modern ambayo tayari ikiwa unlocked ufanisi wake nisawa tu na ile ya kawaida? Au uwezo hupungua baada ya Ku unlock. Naomba uzoefu wakuu.
Ahsante Mkuu! Maana kuna moderm za airtel zinauzwa zikiwa unlocked so nikashituka baada ya kusikia zimefurashiwa, sijui pia kuna kufrash na Ku unlock?
??????????????
Kuna njia tofauti za kufanya modem itumie line zote, unaweza kuflash (kueka firmware kwa ku upgrade/downgrade), unaweza ku unlock kwa kueka unlock code au hata kubadili dashboard ya modem tu.Ahsante Mkuu! Maana kuna moderm za airtel zinauzwa zikiwa unlocked so nikashituka baada ya kusikia zimefurashiwa, sijui pia kuna kufrash na Ku unlock?