mojoki JF-Expert Member Joined Oct 21, 2010 Posts 1,313 Reaction score 291 Apr 19, 2015 #1 Natafuta used (zilizotoka nje) motorbike aina ya KTM, ni wapi ninaweza kupata kwa hapa Bongo Any mdau mwenye taharifa nakaribisha mchango wake.
Natafuta used (zilizotoka nje) motorbike aina ya KTM, ni wapi ninaweza kupata kwa hapa Bongo Any mdau mwenye taharifa nakaribisha mchango wake.
Osaba JF-Expert Member Joined Apr 10, 2011 Posts 1,943 Reaction score 808 Apr 19, 2015 #2 Niliiona moja Ilala kwenye maduka ya spea yaliyopo Amana bajeti yake si unaijua maana sio kama Honda au Yamaha hizo pikipiki
Niliiona moja Ilala kwenye maduka ya spea yaliyopo Amana bajeti yake si unaijua maana sio kama Honda au Yamaha hizo pikipiki
leipzig JF-Expert Member Joined Jan 9, 2013 Posts 2,766 Reaction score 1,716 Apr 19, 2015 #3 Nenda Unguja zinauzwa kama njugu lakini ukumbuke kwamba ukija nayo Bongo unaisajili kwa kuilipia kodi upyaaaa!nchi hii ni kizungumkuti.
Nenda Unguja zinauzwa kama njugu lakini ukumbuke kwamba ukija nayo Bongo unaisajili kwa kuilipia kodi upyaaaa!nchi hii ni kizungumkuti.
chalii wa ara JF-Expert Member Joined Sep 30, 2013 Posts 1,086 Reaction score 1,021 Apr 20, 2015 #4 Kuna yard moja ipo opossite na Gold star Kariakoo, zipo mkuu