zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,938
YOU WILL EAT COKE NO MATTER WHAT!!!
I don't reason with pumpkin heads.......that's not me.
Hivyo ni viroja vinaonesha jinsi ulivyo bi rita.
YOU WILL EAT COKE NO MATTER WHAT!!!
I don't reason with pumpkin heads.......that's not me.
Kwani hizo sio rangi za Taifa?
Ngoromiko, umechanganyikiwa...shuhudia mazishi ya Balozi Edward Athumani Mhina aliyefariki mwaka 2008. Nyadhifa alizowahi kushika;![]()
- Balozi wetu nchini Sweden kwa kipindi cha miaka 10.
- Mkurugenzi wa Tume ya Elimu.
- Mwenyekiti kwenye Bodi ya SIDO
Siku mtikila akifa utaona bendera tutakayomuwekea.
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
View attachment 56131
Kwa majonzi makubwa tumemwaga kitaifa mpendwa wetu Bob Makani (rip). Ameagwa kitaifa kwa sababu amelitumikia taifa letu kwa uzalendo wa hali ya juu.
Nimesikitishwa sana kwa kitendo cha CHADEMA kutanguliza mbele maslahi ya kichama badala ya maslahi mapana ya kitaifa pale walipopamba jeneza la mpendwa wetu na bendera ya chama badala ya Bendera ya Taifa.
Kwa kitendo hicho, wamejenga taswira kuwa Bob ameagwa kichama zaidi na si kitaifa. Mmetuangusha Watz.
Kwa vile anayekulipa kupost huu ukuda ni kilaza basi ataendelea kukulipa vinginevyo angekuwa mtu makini angekupiga chini,yaani unatoa mvuke tu gamba wewe,bure kabisa na kama sikosei wewe ndiye Mkama uliyetokota pale Karim Jee mpaka M/kiti wako akaangalia chini kwa aibu.
View attachment 56131
Kwa majonzi makubwa tumemwaga kitaifa mpendwa wetu Bob Makani (rip). Ameagwa kitaifa kwa sababu amelitumikia taifa letu kwa uzalendo wa hali ya juu.
Nimesikitishwa sana kwa kitendo cha CHADEMA kutanguliza mbele maslahi ya kichama badala ya maslahi mapana ya kitaifa pale walipopamba jeneza la mpendwa wetu na bendera ya chama badala ya Bendera ya Taifa.
Kwa kitendo hicho, wamejenga taswira kuwa Bob ameagwa kichama zaidi na si kitaifa. Mmetuangusha Watz.
Wewe mtoa mada akili yako imegeukia kushoto,kuja kwa viongozi wote sio ndio uwe msiba wa ccm,hebu jiulize wao viongozi wote walienda msiba wa kanumba mbona hukulalamika alikuwa staa wa taifa?kama chama lazima kienzi mwasisi wake kwa heshima zote ikiwemo bendera ya chama kufunika jeneza na kama angekuwa serikalini kama jeshi au polisi ungeona bendera ya taifa na mizinga,elewa watu wanaofunikwa bendera ya taifa sio kukurupuka tuu,ingekuwa hivo hata nesi pia ni mtumishi wa serikali au mwalimu so siku akifariki naye anafunikwa bendera ya taifa?