Kozi maalum ya kupata sifa ya kusomea stashahada ya ualimu wa shule za msingi

ween

JF-Expert Member
Jul 20, 2016
414
128
Natumain mu wazma, naomba mwenye uelewa na koz hyo anisaidie ufafanuzi zaid nahtaji kujiunga pia
 
Ni mpya naskia inawachukua form 4 NTA level4 wenye D4 moja ya chuo kinachotoa coz hyo ni
 
Ni mpya naskia inawachukua form 4 NTA level4 wenye D4 moja ya chuo kinachotoa coz hyo ni
Kasome basic certificate ya Community development kwenye vyuo vya maendeleo ya jamii vinavyotambuliwa na serikali..then afta that utaweza kuomba Hyo koz ya Education. Hadi sasa vyuo navyovifahamu vinavyopokea wenye sifa hizo ni KLERUUU na Institute of Adult Education Dsm. Pia ili uweze kusoma hyo basic Cert. Ya Community development lazma uwe na Pass 4 form four....kiwango cha D au zaidi
 
Natumain mu wazma, naomba mwenye uelewa na koz hyo anisaidie ufafanuzi zaid nahtaji kujiunga pia
Zaidi ya hayo yote muda wa application ushapita...labda kama watatoa second chance baada ya selection. Kwa kuongea maelezo yangu ya mwanzo...vyuo vya CD vya serikali vinavyotoa cheti ni kama Ruaha -Iringa, Uyole mbeya....n.k!
 
Subiri kwanza uone haya mabadiliko na vigezo vya kujiunga na elimu au vyuo mbalimbali, si unamsikia Ndalichako?
 
Hyo comuty devolopment ukisoma ndo unakuja kuwa nani baada ya kuhitim?
 
Natumain mu wazma, naomba mwenye uelewa na koz hyo anisaidie ufafanuzi zaid nahtaji kujiunga pia
Hapo ulipo una elimu gani, tukuelekeze! Maana kama una grade 3A, kusoma hiyo DPE ni lazima na una sifa tayar, kama umemaliza form 4 una angalau ufaulu wa point 27 na bora zaidi ya hyo!!!
 
Ila nilisoma uaandishi wa habar na uyangazaji nikapata chet diploma nikitaka kuendelea mbele nibadil fan kwenda ualimu nafanyaje
 
Back
Top Bottom