Public Enemy
JF-Expert Member
- Aug 18, 2011
- 2,901
- 3,248
tatizo ni serikali haitaki kutengeneza vijana na wasomi watakaokua na uwezo wa kujitegemea mara baada ya masomo ama kuwajengea uwezo wa kujifunza kumudu maisha na si kutegemea ajira za serikali... hapa ndio ninaona umuhimu wa elimu ya ujamaa na kujitegemea (ESR) maana nina uhakika ( by intuition) wengi wa hao vijana itakua ni school dropouts... na waliofeli shule.... swali ni waende wAPI?