mgemamkwezi
JF-Expert Member
- Oct 11, 2013
- 445
- 105
Nahisi mh kapuya ngoma imeshampanda kichwani
Kapuya katika vitisho vyake alishasema namnukuu "Sisi ndio serikali,watoto wetu wanauza madawa ya kulevya hakuna wakuwashika" sasa jamani mlitegemea KOVA aseme yeye anaweza kumkamata?Advera Senzo ni mbabaishaji ndio hao walipewa nafasi na haohao kwa kitendo hichohicho tena kwa kulazimishwa kuanzia mafunzoni mpaka leo msemaji wewe unafikiri mpaka uwe msemaji wa Polisi hapa Tanzania ni suala dogo?wenzio hawana midomo au hawajui kuongea?Hapo tujiandae kuwazika hao mabinti kama alivyosema Kapuya...Nchi hii haina Polisi ya Umma ni Genge la Wabakaji na watetea ubakaji.Uchunguzi ufanyike ipasavyo.
Ila na wazazi/walezi, hakuna free lunch. Hii ikiingia vichwani mwetu kuna mambo mengine tutawaeoushia vizazi vyetu. Turiani shule ya serikali, ada sidhani kama inafika hata laki 3 kwa mwaka, mtoto wa niaka 14 anahongwa 700K na benzi juu?
Huyo Kova angekua mwanae ndio kafanyiwa hivyo na huyo bazazi angetoa kauli hizo hizo?
Unamnukuu ulikuwa naye wapi kama nawe siyo mmoja wao?Kapuya katika vitisho vyake alishasema namnukuu "Sisi ndio serikali,watoto wetu wanauza madawa ya kulevya hakuna wakuwashika" sasa jamani mlitegemea KOVA aseme yeye anaweza kumkamata?Advera Senzo ni mbabaishaji ndio hao walipewa nafasi na haohao kwa kitendo hichohicho tena kwa kulazimishwa kuanzia mafunzoni mpaka leo msemaji wewe unafikiri mpaka uwe msemaji wa Polisi hapa Tanzania ni suala dogo?wenzio hawana midomo au hawajui kuongea?Hapo tujiandae kuwazika hao mabinti kama alivyosema Kapuya...Nchi hii haina Polisi ya Umma ni Genge la Wabakaji na watetea ubakaji.
babu miaka 70 katoto ka miaka 14 unakasaulia mavazi - mikosi hii.
msiyatete haya mazee ukweli ni kwamba hayajatulia
Kwahiyo unajipanga kubaka? Nadhani itakuwa ndiyo tabia yako unataka kuzuga tu.
Kova pambaff!!!! yaani hata zile msgs za kutishia kuua hataki kuzichunguza? Kitengo chake cha upelelezi kina kazi gani? Kweli huyu kanywa maji ya CCM na yanamlevya kabisa.
its not as simple as you think, ngoma hii ni noma!!
??????ila youtube ndo ya kuamini?kama limeandika uongo,sheria zipo, na anayetuhumiwa ana haki zote za msingi kwani BADO HAJAtiwa hatiani!Hakuna cha maana alichonena Kova,kama kawaida yake ameendelea ku-prove ukilaza wake!mbona wananchi wa kawaida,hizo ni taarifa zinazotosha kuwakamata na kuwafungulia mashtaka?au kwa sababu yeye ni mmoja wa wenyenchi?Umenena Vyema Kamanda Kova. Tanzania Daima sio gazeti la kuamini 100% Mbona Halijatoa hizi habari za Lema kiundani?
Hamna kity hapa...watu wanajua kutoa kapuya Urambo inahitaji mizengwe...so wanapika kila aina...ile mtoto kwenda kulalamika KWENYE gazeti la Chadema basi inatosha kuonesha hapa ni kuchafuana tu
Lema alichafulia ...na amekanusha...na sote tunakubali...ilhali picha zipo wazi kwenye mitandao..lakini wengi tunaamini ni mambo ya kuchafuana
sasa huyo mtoto mbona hasemi katika hio stori yake kama baada ya kuambiwa kwamba Kapuya ana ngoma basi alienda hospitali kupima na kuambiwa ni muathirika? hakuna ambapo anathibitisha kwamba tayari ameambukizwa
pia huyu mtoto anatajwa kwenye hio stori kuwa ni yatima ..jee kisa cha kuwa yatima? jee wazeee wake walikufa?
au alitupwa ? au wamekufa kwa ngoma na wao ?
sidhani kama kuna raha yoyote kutembea na under 15...profesa ana pesa zake akitaka celebrity wetu hakosi....so why afanye hivo? ...nitakubali kama tu atakuwa na matatzo ya ubongo..unao mwathiri kisaikologia...na yeye sidhani kama ana tatizo hilo.
ngoja binti wako au mdogo wako wa miaka 14 ashughulikiwe then aje home huku anavuja damu sehemu za siri then ujitokeze hadharani useme ni mshedede aliutaka mwenyewe!! hapo nitakusifu.Mkuu kwani dushelele ya wababu inatofauti gani na ya vijana ?. Sidhani kama yule mtoto aliona jipya la kumshangaza, isitoshe yeye mwenyewe kapenda kugegedwa maana kafanyiwa mara nyingi tu na huyo babu, tena sio kumshangaa Kapuya kwani vibabu vingi sana ndio tabia hii. Kweli Mungu ana uvumilivu wa hali ya juu sana, mpaka leo hii ameacha kutuadhibu na matendo yetu machafu haya