Kova anaficha wapi uso baada ya Muro kuachiwa

Kova anaficha wapi uso baada ya Muro kuachiwa

Nilikuwa namheshimu sana kova sikujua kama ni mpuuzi kiasi hiki, sijui ni kitu gani kilichompelekea kujiingiza kwenye skendo hili! shame on you kova.Sasa kama senior police kama yeye hajui hata mipaka ya kazi yake,je itakuwaje kwa junior police?
 
Nimemuangalia hapo kwenye youtube ameniudhi sana na makengeza yake kama kondooo!!!
anasoma vifungu, anasema pingu inauhusiano gani na uandishi.........pambaf zake!! akili za kuungaunga

Kama igp mchapa kazi inabidi amtupe kova katavi au ntwara huko hafai kuwa jijini.
 
Tena ameaibika ile mbaya na timu nzima iliyohusika nafananisha hii aibu na ile ilowapata waliosukuma gari la Jairo wakimuita baba yao. jambo la msingi namsifu jeri kwa kuwasamehe watahukumiwa na walimwengu. aibu aibu tupo wananuka aibu
 
Nimemuangalia hapo kwenye youtube ameniudhi sana na makengeza yake kama kondooo!!!
anasoma vifungu, anasema pingu inauhusiano gani na uandishi.........pambaf zake!! akili za kuungaunga

niliwahi sikia kwamba akili ni nyele.,.,!!jamani kova si anakipara?
 
wana jf,siku muro alipokamatwa kamanda kova aliongea na waandishi wa habari kwa ukali kuhusu muro baadhi ya maneno akisema,mwandishi wa habari gani huyu mhalifu hiyo bastola na pingu zinahusiana vipi na uandishi wa habari,leo tumekupata kumbe we ni mhalifu mkubwa.ki ukweli alitoa maneno makali ambayo ni sawa na hukumu kwa utuhumiwa,mimi na bro wangu tukajiuliza sana siku ile,kama msomi kova anawezaje kufanya vile je wananchi wa kwaida tuataachaje kuchoma watuhumiwa moto.natamani clip ya ile habar irudiwe
Polisisimu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom