wana jf,siku muro alipokamatwa kamanda kova aliongea na waandishi wa habari kwa ukali kuhusu muro baadhi ya maneno akisema,mwandishi wa habari gani huyu mhalifu hiyo bastola na pingu zinahusiana vipi na uandishi wa habari,leo tumekupata kumbe we ni mhalifu mkubwa.ki ukweli alitoa maneno makali ambayo ni sawa na hukumu kwa utuhumiwa,mimi na bro wangu tukajiuliza sana siku ile,kama msomi kova anawezaje kufanya vile je wananchi wa kwaida tuataachaje kuchoma watuhumiwa moto.natamani clip ya ile habar irudiwe