Inside10
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 33,623
- 40,182
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza muda huu moto unawaka ktk hizo kotas
Baadhi ya sehemu ya jengo hilo ndio linaugua moto.
Updates.
Mali zote zimeonekana kuteketea katikaApartment namba 0526B ndiyo sehemu ya ghofofa lililowaka moto Magomeni Kota jijini Dar Es Salaam.
Apartment hiyo ipo Block 4 wing B ghorofa ya saba inadaiwa chanzo cha moto ni mtoto kuchoma godoro.
Aidha mtoto mdogo wa miaka mitatu anahofiwa kufariki kwa kuungua na moto katika janga hilo.
Baadhi ya sehemu ya jengo hilo ndio linaugua moto.
Updates.
Mali zote zimeonekana kuteketea katikaApartment namba 0526B ndiyo sehemu ya ghofofa lililowaka moto Magomeni Kota jijini Dar Es Salaam.
Apartment hiyo ipo Block 4 wing B ghorofa ya saba inadaiwa chanzo cha moto ni mtoto kuchoma godoro.
Aidha mtoto mdogo wa miaka mitatu anahofiwa kufariki kwa kuungua na moto katika janga hilo.