Kosa moja linaposahaulisha mazuri 100 uliyoyafanya: Mkasa uliomkuta Zamaradi

Sidhani kama alikuwa na nia njema,kwa sababu angetumia weledi wake kudhibiti mwenendo wa mahojiano na mgeni wake.Sisi kama watazamaji tunabaki na chaguo moja tu,kuamini kuwa Zamaladi alilenga kutetea haki za mashoga.
Mtoa mada mbona kadadavua vizuri sana?
Ndugu yangu binadamu site tunamapungufu. Saazingine tukitarajia kujenga, kumbe tunabomoa. Hugo Dada tusimuhukumu kama mhamasishaji,Bali akili zetu zimuone kama muelimishaji.Ujuenini! Sisi binadamu wengi wetu ni wanafiki wa kutupwa! Unamkuta mtu analaani kitendo flan wakati kumbe yeye mwenyewe ni muumini mkubwa wa mambo hayo. Mwizi hapendi mwizi mwenzie,mzinzi hapendi mzinzi mwenzie nk nk. Ni ubinafsi tu.
Kosa lolote liwalo hapa duniani likiombewa msamaha halinabudi kusamehewa. Maana hata MwenyeziMungu husamehe kwa wanaojuta na kutubu.
 
Zamaradi ni moja yawatangazaji wenye akili sana ukiwa unamsikiliza. jamii ambayo 13%% ndiyo wamefika sekondari ni ngumu kumuelewa. miaka ijayo tutamshukuru kwa kuitoa jamii ambayo imekuwa ikizamisha kichwa mchangani ikisikia ushoga.
Ana akili iliojaa kwenye chupi yake tuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu.
 
Tatizo Zamaradi Nae Anatangatanga Sana. Kipindi Kilikuwa Mahsusi Kwa Masuala Ya Filamu, Sana Anahoji Kila Mtu

Mkuu Zamaradi anapenda kurukia rukia vitu aapate attention asifiwe...hiki kipindi alitakiwa ajiandae haswa Kwa maswali..matokeo yake anamwachia jamaa anatamba anajitangaza.
Sasa ndio utasema anaelimisha Jamii nini?
 
Back
Top Bottom