winlicious
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 1,009
- 1,158
Nzuri
Ok sawa mkuu ila mimi ndiye niliyeiandika hii story (kuitunga),, ikisambaa kama hivi kiasi flani inatia moyoHii story nilikuwa nayo mda mrefu kwahyo wakati naipost humu nilikuwa napaste tu.
Japo nimeweka jina langu nilivyo i post kule fb ila hapa jf siwezi kusema jina kamili, nilishawahi kui post mwanzo hapahapa nikaweka tu namba zangu za simu,Jina lako halisi nani
Ok poa sawa mkuu ila asante kwa ku i shareInawezekana nakufahamu coz na mimi siwezi kutaja jina langu halisi humu.
Hadithi nzuri sana