Kosa langu ni lipi?

Kosa langu ni lipi?

sijakupata vizuri ina maana ulikuwa unajua kuwa huyo bf wako alikuwa na demu mwingine eeeh?

unajua huwezi ukakurupuka tu kujipachika kwa mtu b4 knowing what he really is..na yeye ndo anajitahidi kuwa mr.right af kati kati ya kitonga mtu anatereza and u get to feel lyk something is going on so huwezi kuanza kupanic at least utauliza lyk is he in any relationship wit another woman na unakuta jitu linakudanganya peupe kabisa.bt inapotokea ishu ya kufanya ujinga openly there z nothn lyk am sorry babes..to me thts an insult
 
Kwa nini marafiki zako ndio wanalalamika. Kwani huyo kaka amelalamika kwa kuachwa bila kuambiwa kosa?

this happens in a situation where the girl,the boy,and the friends whr a bunch of happy friends ol together na ghafla things change kati yao lazma utaulizwa n u wl have to say the truth..
 
No lie..hata humu kuna waheshimiwa ni wataalam wa kuua ndege wawili kwa nati moja..amekaa na mamaa huku anachat na babe wake wa kigamboni huku anasubiri jibu la wa keko..dada ndo unatulia kifuani huko mwenzako anahaidiwa ndoa..dada zangu muwe makini kujiachia achia tu kwa mtu ukafanya na investment ni jambo la kuwa makini sana..saa tano usiku mtu anapokea simu..hujiulizi ya nani na kwann kapiga mda huo zaidi tu atajibaraguza ah huyu sister wangu wa chuo msumbusu sana c unajua tena chuo na dada hapo ndo unachanua meno yote nje.we learn frm mistakes
 
huyo alikuwa hakutaki so akaamua kukufanyia vituko ili uondoke mwenyewe. He doesn't love.
 
No lie..hata humu kuna waheshimiwa ni wataalam wa kuua ndege wawili kwa nati moja..amekaa na mamaa huku anachat na babe wake wa kigamboni huku anasubiri jibu la wa keko..dada ndo unatulia kifuani huko mwenzako anahaidiwa ndoa..dada zangu muwe makini kujiachia achia tu kwa mtu ukafanya na investment ni jambo la kuwa makini sana..saa tano usiku mtu anapokea simu..hujiulizi ya nani na kwann kapiga mda huo zaidi tu atajibaraguza ah huyu sister wangu wa chuo msumbusu sana c unajua tena chuo na dada hapo ndo unachanua meno yote nje.we learn frm mistakes


Labda km wa kupita
Lkn km mpenzi wako atatafuta means ya kupokea hyo cm, cyo mbele yangu sa 5 ucku
Aisee kumbe ubabe somtym ubasaidia
 
Labda km wa kupita
Lkn km mpenzi wako atatafuta means ya kupokea hyo cm, cyo mbele yangu sa 5 ucku
Aisee kumbe ubabe somtym ubasaidia

naongelea hiyo ukiwa umelala bibie unashikilia kidevu anaamkaje sasa itabidi ajikaze asitumie maneno laini na ww wala hisia huna c unamuona malaika. Hivi mnapoanza kudate anakuja na price tag au kikaratsi kuwa huyu ni wako peke yako?
 
Huyu mdada aliachagwa kitambo ila sema alikuwa mvumilivu ila hatua aliyofikia ulifanya jambo la busara kulitalaka:

Then Christine mbona like nyingi ama na we ishakutokea kitu kama hyo.
 
Huyu mdada aliachagwa kitambo ila sema alikuwa mvumilivu ila hatua aliyofikia ulifanya jambo la busara kulitalaka:

Then Christine mbona like nyingi ama na we ishakutokea kitu kama hyo.

Hahahaa
Nimependa comments za watu jamani
No haowez nikuta
 
Huyu mdada aliachagwa kitambo ila sema alikuwa mvumilivu ila hatua aliyofikia ulifanya jambo la busara kulitalaka:

Then Christine mbona like nyingi ama na we ishakutokea kitu kama hyo.

cna historia ya kuachika..asingetumia rafiki zake kutaka kujua hali yangu.marafiki wenyewe vilopo unategemea nn?
 
Kosa lako umetupa upande mmoja tu wa habari.

Mwambie na yeye naye aje kutupa upande wake.
 
Kosa lako umetupa upande mmoja tu wa habari.

Mwambie na yeye naye aje kutupa upande wake.

ukute yuko humu na yeye anachangia mada..haya baba jimwae na ww mi nshamaliza..he got no guts to face it..
 
Yaani ni vituko maana nlishawahi kumuuliza kuhusu mahusiano yake ya nyuma akanidanganya sana na kuona nimeanza kumuhisi akawa ananipeti sana ila nlikuwa natafuta sababu ya kuondoka kistaarabu tu maana nlishaona napoteza muda tu. Hiyo siku anaongea na simu alijua sielewi kinachoendelea.ila na mm nikome kuwa mpole

inaonekana marafiki zako walikuwa wanafaidika juu ya penzi lenu..
 
Kosa lako ni kuamini kuwa u kiti cha 'hai tebo' kumbe mwenzio akuona jamvi la hitma
 
Back
Top Bottom