Mentor
JF-Expert Member
- Oct 14, 2008
- 20,334
- 23,940
nlikuwa najiuliza tu ulishazinduka ukaanza kcomment..km u mzma bac heri
Eeeh heri kweli kweli! ushampata mwingine ama bado unataka kuachana na ex alokwisha kukuacha!??
nlikuwa najiuliza tu ulishazinduka ukaanza kcomment..km u mzma bac heri
Kosa lako ni kuamini kuwa u kiti cha 'hai tebo' kumbe mwenzio akuona jamvi la hitma
Eeeh heri kweli kweli! ushampata mwingine ama bado unataka kuachana na ex alokwisha kukuacha!??
There is this guy i once called a boyfriend..yaani it was hectic coz i tried to be that good girlfriend kumuheshimu and all that ila at the end ni vituko! Mi nkaona isiwe tabu tho at first nlijitahidi nivumilie but sitasahau siku yule kiumbe anaongea na mwanamke wake in my presence nikasema hata kama ni kutulia hapa nimechemka mwenyewe jamani si kuvunjiana heshima huku!tena anamwambia ni jinsi gani alivo na nyege. Uwiii mwanamke nikajikaza mie ila habari ndo ikaishia hapo sijataka mawasiliano ya aina yoyote ila rafiki zangu wanashauri haikuwa vyema kumuacha bila kumwambia kosa ndo najiuliza hivi kweli katika upuuzi kama huo mtu mzima na ndevu zake asijue kosa lake?
ah babu we cjaachika mie ndo nlisonga mbele..we mentor utaanzaje kumuulizia ex wako kwa rafiki zako
jamvi halijawahi kukaliwa na mgeni huyo
There is this guy i once called a boyfriend..yaani it was hectic coz i tried to be that good girlfriend kumuheshimu and all that ila at the end ni vituko! Mi nkaona isiwe tabu tho at first nlijitahidi nivumilie but sitasahau siku yule kiumbe anaongea na mwanamke wake in my presence nikasema hata kama ni kutulia hapa nimechemka mwenyewe jamani si kuvunjiana heshima huku!tena anamwambia ni jinsi gani alivo na nyege. Uwiii mwanamke nikajikaza mie ila habari ndo ikaishia hapo sijataka mawasiliano ya aina yoyote ila rafiki zangu wanashauri haikuwa vyema kumuacha bila kumwambia kosa ndo najiuliza hivi kweli katika upuuzi kama huo mtu mzima na ndevu zake asijue kosa lake?
kama kuachwa ndo kwa mapenzi yale basi wanaume nawapa mia kwa kuyajua maigizo
Hao Rafiki zako wana umri gani?????Wanawake bwana huwa hawapendi kufikiria!!!! (ingawa sio wote jamani)
A a kwa maelezo yako ni kama uliachika while in real sense u should b proud of urself uliondoka! Kumuulizia ex kwa marafiki mimi kama mwanaume ni easy sana kama najua bado ananifeel na kwa wakati huo nina nyege...tell me my dia, ddnt u feel good ulipoambiwa na marafiki zake kuwa ur ex anakuulizia? cmon, he jus being a smartass na usipoangalia anakugegeda bila stress!!!!
wewe endelea kujipa moyo tu...:shocked:
Mbupu imekukolea dada.........kama asali nitamu rudi, usijishaue.......ulivyoandika inasema kila kitu.........mtafute huyo kijana bado unampenda.
Hapana wanaume ukiwapa mia utaka mekosea,maana kati ya wanawake na wanaume waigizaji wazuri ni wanawake huyo wako ni wa aina yake mama au wewe ulimpenda sana ukawa blind haukuona ujio wa tukio
hehehehe we mentor ww mi sio maji mara moja yani ex aje aanze kugegeda aliwekeza hapa? Shida co kuuliziwa tu why shud u want to knw abt my current guy
To see if I can pass by...!
anaongea na mwanamke wake afu we upo apo na kukaa kimya////
you sound like a side chick mbona...so hujaachwa,,,umewekwa pending ,,were you belong i guess:faint2:
unaona raha eeehHahahaa haaaa