Kosa la ponda ni lipi?

Kosa la ponda ni lipi?

BabieWana

Senior Member
Joined
Nov 3, 2010
Posts
178
Reaction score
29
Nchi yetu inaenda pabaya kwani waislam wanaona kama wanaonewa na serikali hii, lakini wakristo wamekuwa wanashabikia na kua upande wa serikali kufurahia madhila yanayo wapata waislam. hakuna mkristo aliyewahi kuona kuwa hapa serikali haijatenda haki kwa waislam. hiki ndio kitu kibaya kuliko vyote?

Suala la ponda liko hivi

1. amehisishwa na kesi ya kuchoma makanisa, kitu ambacho si kweli waliochoma makanisa walikamatwa na kesi yao inaendelea, alichosema ponda waachiwe waliokamatwa kwa hoja alizozitoa kama muislam

2. Kosa alilokamatiwa ni UVAMIZI wa eneo la mtu hapo chang'ombe hili ndo kosa lake akiwa na watu 36 wengine
kwanini unakua uonevu? suala la kiwanja kuvamiwa halihitaji waziri wa mambo ya ndani aite wanahabari kuwaambia uovu huo, hili ni suala la mdai (anayedaiwa mwenye kiwanja), polisi na wavamizi kwanini kiwanja hiki kinatetewa kwa nguvu zote? waziri amepewa kitu kidogo au anafurahia kiwanja hicho kuuzwa ili waislam wakose

3 KIWANJA NI MALI YA WAISLAM walichorithi iliyokua jumuia ya afrika mashariki ya waislam, sasa kinaangaliwa na bakwata. Bakwata wameshindwa kuiendeleza matokeo yake wanataka kukiuza ili wajipatie fedha wale wao kwa manufaa yao na si waislam.
kiwanja hiki aliuziwa manji miaka ya nyuma, waislam wakishirikiana na imam wa masjid mtoro walipiga kelele manji akashindwa kukichukua, sasa kimeuzwa tena na aliyenunua kiwanja alianza kujenga, walioweza kina ponda walienda kukizuia wakavamia na kujenga msikiti wa muda ndipo alipokamatwa


Dhulma inaandaliwa ili kuwakandamiza waislam, imeunganishwa na kesi ya UAMSHO ili ionekane nchi iko kwenye hali ya hatari wakati si kweli, Ya mbagala yalipita watu wakachukuliwa hatua leo kuja kumkamata ponda halafu useme wewe kwa sababu fujo ilifanyika mbagala unakosa, ulikataa sensa unakosa, huu ni uhuni.

nchi imetulia ila yanajengwa mazingira kuonyesha nchi iko kwenye hali ya hatari waislam wakandamizwe mbaya christian your happy, Lakini mambo yakiharibika yataharibika kwa wote

Waislam tuzidishe dua katika kipindi hiki kigumu na ALLAH(S.W) atadhihirisha haki inshalah
 
Ukiwa mtenda mabaya kila siku utasema unaonewa

ukiwa mtenda mabaya huko unakokwenda pia ni wabaya

Ukiwa na roho mbaya ee kweli tutakuogopa

kweli walimwengu hawa wema mola awape ninii eee.... (Ramadhani Mtoro Remi ongala)
 
........

Suala la ponda liko hivi...............................

1.Umewahi kujiuliza ni kwanini amekuwa akiishi maisha ya kukimbia na kuvipiga chenga vyombo vya dola??

2.Umewahi kujiuliza kwanini hajawahi kuonyesha hadharani familia yake au hata ndugu zake wa kuzaliwa tumbo moja??

3. Kama ni mtu safi asiye na hila, kwanini akwepane na polisi??
 
Mbona makosa ya Ponda umeyataja?. Halafu unauliza kosa la Ponda!. Mwenzio Ponda jana pale mahabusu alinyolewa ndevu kwa msumeno wa Afande Kova, hadi akasema yeye ana undugu na Lipumba!. Ndipo walipomsamehe!.
 
Nchi yetu inaenda pabaya kwani waislam wanaona kama wanaonewa na serikali hii, lakini wakristo wamekuwa wanashabikia na kua upande wa serikali kufurahia madhila yanayo wapata waislam. hakuna mkristo aliyewahi kuona kuwa hapa serikali haijatenda haki kwa waislam. hiki ndio kitu kibaya kuliko vyote?

Suala la ponda liko hivi

1. amehisishwa na kesi ya kuchoma makanisa, kitu ambacho si kweli waliochoma makanisa walikamatwa na kesi yao inaendelea, alichosema ponda waachiwe waliokamatwa kwa hoja alizozitoa kama muislam

2. Kosa alilokamatiwa ni UVAMIZI wa eneo la mtu hapo chang'ombe hili ndo kosa lake akiwa na watu 36 wengine
kwanini unakua uonevu? suala la kiwanja kuvamiwa halihitaji waziri wa mambo ya ndani aite wanahabari kuwaambia uovu huo, hili ni suala la mdai (anayedaiwa mwenye kiwanja), polisi na wavamizi kwanini kiwanja hiki kinatetewa kwa nguvu zote? waziri amepewa kitu kidogo au anafurahia kiwanja hicho kuuzwa ili waislam wakose

3 KIWANJA NI MALI YA WAISLAM walichorithi iliyokua jumuia ya afrika mashariki ya waislam, sasa kinaangaliwa na bakwata. Bakwata wameshindwa kuiendeleza matokeo yake wanataka kukiuza ili wajipatie fedha wale wao kwa manufaa yao na si waislam.
kiwanja hiki aliuziwa manji miaka ya nyuma, waislam wakishirikiana na imam wa masjid mtoro walipiga kelele manji akashindwa kukichukua, sasa kimeuzwa tena na aliyenunua kiwanja alianza kujenga, walioweza kina ponda walienda kukizuia wakavamia na kujenga msikiti wa muda ndipo alipokamatwa


Dhulma inaandaliwa ili kuwakandamiza waislam, imeunganishwa na kesi ya UAMSHO ili ionekane nchi iko kwenye hali ya hatari wakati si kweli, Ya mbagala yalipita watu wakachukuliwa hatua leo kuja kumkamata ponda halafu useme wewe kwa sababu fujo ilifanyika mbagala unakosa, ulikataa sensa unakosa, huu ni uhuni.

nchi imetulia ila yanajengwa mazingira kuonyesha nchi iko kwenye hali ya hatari waislam wakandamizwe mbaya christian your happy, Lakini mambo yakiharibika yataharibika kwa wote

Waislam tuzidishe dua katika kipindi hiki kigumu na ALLAH(S.W) atadhihirisha haki inshalah
Hakuna cha dhulma wala nini, waislam mnajikandamiza wenyewe kwa kukosa maarifa...wenzenu wanazidi kununa maeno makubwamakubwa nyinyi hata msikiti tu maishia kuugombea mpaka kupelekea watu kukatana masikio na kulipuana mabomu. Dhulma mnajitengenezea wenyewe kwa kukosa maarifa. Period.
 
Ponda ana mawakili wanaomtetea...kama una points (maana hapa sijaona points za kisheria zaidi ya kulalamika as usual) wapelekee mawakili wake. Tena kama hana kosa ina maana atashinda kesi, then afungue kesi ya madai dhidi ya serikali.
 
Kesi iko mahakamani, unataka wana JF wawe mahakama! Si usubiri vyombo vyenye mamlaka ya kutafsiri sheria na kutoa haki vifanye kazi yake?
 
Nchi yetu inaenda pabaya kwani waislam wanaona kama wanaonewa na serikali hii, lakini wakristo wamekuwa wanashabikia na kua upande wa serikali kufurahia madhila yanayo wapata waislam. hakuna mkristo aliyewahi kuona kuwa hapa serikali haijatenda haki kwa waislam. hiki ndio kitu kibaya kuliko vyote?

Suala la ponda liko hivi

1. amehisishwa na kesi ya kuchoma makanisa, kitu ambacho si kweli waliochoma makanisa walikamatwa na kesi yao inaendelea, alichosema ponda waachiwe waliokamatwa kwa hoja alizozitoa kama muislam

2. Kosa alilokamatiwa ni UVAMIZI wa eneo la mtu hapo chang'ombe hili ndo kosa lake akiwa na watu 36 wengine
kwanini unakua uonevu? suala la kiwanja kuvamiwa halihitaji waziri wa mambo ya ndani aite wanahabari kuwaambia uovu huo, hili ni suala la mdai (anayedaiwa mwenye kiwanja), polisi na wavamizi kwanini kiwanja hiki kinatetewa kwa nguvu zote? waziri amepewa kitu kidogo au anafurahia kiwanja hicho kuuzwa ili waislam wakose

3 KIWANJA NI MALI YA WAISLAM walichorithi iliyokua jumuia ya afrika mashariki ya waislam, sasa kinaangaliwa na bakwata. Bakwata wameshindwa kuiendeleza matokeo yake wanataka kukiuza ili wajipatie fedha wale wao kwa manufaa yao na si waislam.
kiwanja hiki aliuziwa manji miaka ya nyuma, waislam wakishirikiana na imam wa masjid mtoro walipiga kelele manji akashindwa kukichukua, sasa kimeuzwa tena na aliyenunua kiwanja alianza kujenga, walioweza kina ponda walienda kukizuia wakavamia na kujenga msikiti wa muda ndipo alipokamatwa


Dhulma inaandaliwa ili kuwakandamiza waislam, imeunganishwa na kesi ya UAMSHO ili ionekane nchi iko kwenye hali ya hatari wakati si kweli, Ya mbagala yalipita watu wakachukuliwa hatua leo kuja kumkamata ponda halafu useme wewe kwa sababu fujo ilifanyika mbagala unakosa, ulikataa sensa unakosa, huu ni uhuni.

nchi imetulia ila yanajengwa mazingira kuonyesha nchi iko kwenye hali ya hatari waislam wakandamizwe mbaya christian your happy, Lakini mambo yakiharibika yataharibika kwa wote

Waislam tuzidishe dua katika kipindi hiki kigumu na ALLAH(S.W) atadhihirisha haki inshalah

dua za waislam tayari zimesikika kwa mola wao: mashehe wawili-tunduru na arusha wako ICU
 
ukichunguza kwa ndani zaidi, chanzo cha machafuko ni waislamu kugawanyika. hii inatokana na uongozi FISADI WA BAKWATA. for sure BAKWATA kimekuwa kisiasa zaidi na haitatui matarajio ya waislamu. LAZIMA BAKWATA IVUNJWE KWA MANUFAA YA WAISLAMU NA NCHI!!
 
Umejichanganya kwel ndg yangu..! Tizama mada yako (kosa la Ponda ni lipi) na ulichokieleza ni kipi? Badilisha topic iwe: Hili ndo kosa la Ponda. Achen kulalamika bila hoja, Bakwata chombo chenu, aliyenunua kiwanja (Manji) Muislam mwenzenu, aliyemkamata Ponda (Kova) muislam mwenzenu, kiongoz wa nch ni muislam mwenzenu, Wakristo wanaingiaje hapo.?? Wachochez kama nyie ndo mnavuruga wenzenu misikitin badala ya kuwaelimisha watayamudu vp maisha na kufuata sheria za nchi, mnawachochea kwa hoja kama hzi kichwa chni miguu juu. Tafakarin sana, huu ndo muda wakuwekana sawa, 2015 akiingia mkristo Ikulu si ndo mtaisingizia serikal kila ki2 kibaya??
 
Wewe usiyeona makosa ya baba yako Ponda hata ukielezwa hutaelewa. Kwani huoni wala usikie linapotamkwa jina la Ponda mhuni anayetumia uislam kujineemesha. Hujaona mashehe wanavyoshambuliwa na wahuni wenye mawazo mfu na mgando kama ya Ponda mwanangu? Kweli asiyejua maana haambiwi maana na akiambiwa maana hatajua maana kwa vile hajui kuwa hajui. Ponda na Farid ni viumbe wanaopaswa kuwa kuzimu by all means kwa vile nao wanataka kutuvuruga by all means. Ingawa hutaelewa ujumbe umefika. To hell Ponda and his opium.
 
Kosa la Kopa ni kwamba ni kafiri asiyejijuwa anachochea makafiri wenzake kufanyia fujo wapenda amani huku akijifanya yeye hausiki.
 
Nchi yetu inaenda pabaya kwani waislam wanaona kama wanaonewa na serikali hii, lakini wakristo wamekuwa wanashabikia na kua upande wa serikali kufurahia madhila yanayo wapata waislam. hakuna mkristo aliyewahi kuona kuwa hapa serikali haijatenda haki kwa waislam. hiki ndio kitu kibaya kuliko vyote?

Suala la ponda liko hivi

1. amehisishwa na kesi ya kuchoma makanisa, kitu ambacho si kweli waliochoma makanisa walikamatwa na kesi yao inaendelea, alichosema ponda waachiwe waliokamatwa kwa hoja alizozitoa kama muislam

2. Kosa alilokamatiwa ni UVAMIZI wa eneo la mtu hapo chang'ombe hili ndo kosa lake akiwa na watu 36 wengine
kwanini unakua uonevu? suala la kiwanja kuvamiwa halihitaji waziri wa mambo ya ndani aite wanahabari kuwaambia uovu huo, hili ni suala la mdai (anayedaiwa mwenye kiwanja), polisi na wavamizi kwanini kiwanja hiki kinatetewa kwa nguvu zote? waziri amepewa kitu kidogo au anafurahia kiwanja hicho kuuzwa ili waislam wakose

3 KIWANJA NI MALI YA WAISLAM walichorithi iliyokua jumuia ya afrika mashariki ya waislam, sasa kinaangaliwa na bakwata. Bakwata wameshindwa kuiendeleza matokeo yake wanataka kukiuza ili wajipatie fedha wale wao kwa manufaa yao na si waislam.
kiwanja hiki aliuziwa manji miaka ya nyuma, waislam wakishirikiana na imam wa masjid mtoro walipiga kelele manji akashindwa kukichukua, sasa kimeuzwa tena na aliyenunua kiwanja alianza kujenga, walioweza kina ponda walienda kukizuia wakavamia na kujenga msikiti wa muda ndipo alipokamatwa


Dhulma inaandaliwa ili kuwakandamiza waislam, imeunganishwa na kesi ya UAMSHO ili ionekane nchi iko kwenye hali ya hatari wakati si kweli, Ya mbagala yalipita watu wakachukuliwa hatua leo kuja kumkamata ponda halafu useme wewe kwa sababu fujo ilifanyika mbagala unakosa, ulikataa sensa unakosa, huu ni uhuni.

nchi imetulia ila yanajengwa mazingira kuonyesha nchi iko kwenye hali ya hatari waislam wakandamizwe mbaya christian your happy, Lakini mambo yakiharibika yataharibika kwa wote

Waislam tuzidishe dua katika kipindi hiki kigumu na ALLAH(S.W) atadhihirisha haki inshalah

Sheikh Ponda and his followers are accused of
1. Committing conspiracy;
2. Trespass;
3. Criminal possession of property owned by Agritanza Limited at Chang’ombe in Temeke municipality.
4. Stealing of building materials from Agritanza limited including 1,500 bricks and 36 tonnes of aggregate and iron bars, all worth 59.6m/.
5. Inciting people to commit offences (only Ponda's).

Haya ndo makosa aliyopandishwa nayo Kisutu. Hayo manne ni pamoja wa wengine 49, na hilo la 5 ni peke yake.
 
BabieWana; Nimependa jinsi ulivyoandika. Katika vitu vinavyoniuma japo si muislam ni jinsi kiwanja kizuri kilivyouzwa na kupeteza lengo kujenga chuo kikuu. Nimependa kwa kuwa unaonekana unaweza kuwa mvumilivu katika mijadala. Pamoja na mie kuumia, nisaidie ndugu yangu, Wakristo wamekosa nini na wanaingia wapi na vipi. Huenda mimi kuna nisichofahamu. Baadhi ya wakristo wamelia sana kuchomewa makanisa. Fedha na mali walizojinyima kwa miaka mingi zimeteketea. Labda hilo tumuachie Mungu kwani zilizochomwa ni Nyumba zake Mola. Atajuana nao yeye Mwenyewe.

Ninaafiki kuwa huenda kuna tatizo, lakini naona kama njia zinazotumika kutatua siyo sahihi, unaweza kunisahihisha kama sipo sahihi. Ninaifahamu kiasi BAKWATA, Ni taasisi iliyosajiliwa. Nadhani ina wanachama au waasisi. Naona kama inawakilisha waislam sina hakika kama inawakilisha waislam wote. Wakristo pia wapo Katoliki, KKKT, Anglikana, TAG nk.

Nisaidie wakristo wana makosa gani ili kama inawezekana tutafute njia za kiungwana za kutatua. Nimesoma jinsi ulivyoandika, ninaona kama una kitu unataka kusema, na ninahisia wewe unaweza kuwa mzuri katika kuleta umoja na mshikamano kwa kueleza yanayojiri na huenda tukakubaliana kwani tuna uwezo wa kutatua matatizo kistaarabu bila kuteketeza mali na kuleta maafa. NISAIDIE
 
Sheikh Ponda and his followers are accused of
1. Committing conspiracy;
2. Trespass;
3. Criminal possession of property owned by Agritanza Limited at Chang'ombe in Temeke municipality.
4. Stealing of building materials from Agritanza limited including 1,500 bricks and 36 tonnes of aggregate and iron bars, all worth 59.6m/.
5. Inciting people to commit offences (only Ponda's).

Haya ndo makosa aliyopandishwa nayo Kisutu. Hayo manne ni pamoja wa wengine 49, na hilo la 5 ni peke yake.

Umemaliza mkuu. Asante.
 
BabieWana@Sikia ww kama wataka kujua kosa la Ponda nenda mahakamani na kama una ushahidi kuwa Ponda hana hatia peleka mahakamani usibwabwaje kam zuzu
 
ukichunguza kwa ndani zaidi, chanzo cha machafuko ni waislamu kugawanyika. hii inatokana na uongozi FISADI WA BAKWATA. for sure BAKWATA kimekuwa kisiasa zaidi na haitatui matarajio ya waislamu. LAZIMA BAKWATA IVUNJWE KWA MANUFAA YA WAISLAMU NA NCHI!!

uongozi wa bakwata upatikanaje?, naamini huko hakuna rushwa kama kwenye siasa; wekeni watu safi.
 
Nchi yetu inaenda pabaya kwani waislam wanaona kama wanaonewa na serikali hii, lakini wakristo wamekuwa wanashabikia na kua upande wa serikali kufurahia madhila yanayo wapata waislam. hakuna mkristo aliyewahi kuona kuwa hapa serikali haijatenda haki kwa waislam. hiki ndio kitu kibaya kuliko vyote?

Suala la ponda liko hivi

1. amehisishwa na kesi ya kuchoma makanisa, kitu ambacho si kweli waliochoma makanisa walikamatwa na kesi yao inaendelea, alichosema ponda waachiwe waliokamatwa kwa hoja alizozitoa kama muislam

2. Kosa alilokamatiwa ni UVAMIZI wa eneo la mtu hapo chang'ombe hili ndo kosa lake akiwa na watu 36 wengine
kwanini unakua uonevu? suala la kiwanja kuvamiwa halihitaji waziri wa mambo ya ndani aite wanahabari kuwaambia uovu huo, hili ni suala la mdai (anayedaiwa mwenye kiwanja), polisi na wavamizi kwanini kiwanja hiki kinatetewa kwa nguvu zote? waziri amepewa kitu kidogo au anafurahia kiwanja hicho kuuzwa ili waislam wakose

3 KIWANJA NI MALI YA WAISLAM walichorithi iliyokua jumuia ya afrika mashariki ya waislam, sasa kinaangaliwa na bakwata. Bakwata wameshindwa kuiendeleza matokeo yake wanataka kukiuza ili wajipatie fedha wale wao kwa manufaa yao na si waislam.
kiwanja hiki aliuziwa manji miaka ya nyuma, waislam wakishirikiana na imam wa masjid mtoro walipiga kelele manji akashindwa kukichukua, sasa kimeuzwa tena na aliyenunua kiwanja alianza kujenga, walioweza kina ponda walienda kukizuia wakavamia na kujenga msikiti wa muda ndipo alipokamatwa


Dhulma inaandaliwa ili kuwakandamiza waislam, imeunganishwa na kesi ya UAMSHO ili ionekane nchi iko kwenye hali ya hatari wakati si kweli, Ya mbagala yalipita watu wakachukuliwa hatua leo kuja kumkamata ponda halafu useme wewe kwa sababu fujo ilifanyika mbagala unakosa, ulikataa sensa unakosa, huu ni uhuni.

nchi imetulia ila yanajengwa mazingira kuonyesha nchi iko kwenye hali ya hatari waislam wakandamizwe mbaya christian your happy, Lakini mambo yakiharibika yataharibika kwa wote

Waislam tuzidishe dua katika kipindi hiki kigumu na ALLAH(S.W) atadhihirisha haki inshalah

si vizuri kuzungumzia jambo ambalo tayari lipo mahakamani,mahakama ndio itaprove whether Ponda is guilt or otherwise.nina imani haki itatendeka na hakuna atakaeonewa
 
Back
Top Bottom