Kosa la Kebwe ni lipi?

Kosa la Kebwe ni lipi?

Retired

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
50,167
Reaction score
96,240
Naomba mwenye kujua Kebwe amekosa nini anijuze.
 
  • Thanks
Reactions: MTK
Dah, Kebwe alimrithi yule aliyetimuliwa daktari wa kilimo. Naye Daktari wa binadamu ametoswa! Moro noma.
 
na hao RAs waliotoka wizarani hadi katibu tawala hiyo imekaaje ?
 
Upole mpk madudu ya mkoa wake yanavumbuliwa na waziri mkuu!!
Sio hilo, habari za ndani kabisa ni kuwa Kabwe ameshindwa kudhibiti upinzani uliopo ndani ya mkoa na unakuwa kwa kasi.
Ndio maana wamepelekewa mwenyekiti wa ccm kutoka huko Arusha.
Lijualikali, Profesa J na yule mama wa Mlimba pamoja na kuzibitiwa na kuwekwa ndani, purukushani za polisi nk lakini inakuwa kama wamemwagiwa petrol kuchanja mbuga.
 
How ineffective?

Alafu utaniudhi sasa hv, kuuliza vitu huku una majibu ya wazi na kila mtu anajua..

1: Wilaya za Moro karibu zote rushwa ilitawala, wizi wa hela

2: Usimamizi mbovu wa viongozi wa chini yake, DC na Mkurugenzi wanagombana, miradi haifanyiki sbb kila mmoja na contractor wake mkononi, RC anang'aa macho tu na pombe full time

3: Kuna mapolisi walichukua rushwa sana kwa kampuni ya Tumbuka pale Moro na kuwanyanyasa wakuu wa kampuni ya tumbaku na Mkuu wa mkoa yuko tu..

4: Moto umechoma watu wengi Moro mwezi uliopita, sbb ya uzembe wa maaskari, maskari wako chini ya RC kama Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na Usalama, ingefaa polisi wawe aggressive baada ya ajali watimue watu, labda wangekufa wachache sana..

All in all, Kebwe pombe na uzembe ndio vimemponza, very lazy.
 
Back
Top Bottom