Kosa la Kebwe ni lipi?

Kosa la Kebwe ni lipi?

Yap! Awamu hii hata mhuni anaweza kupata teuzi kubwa tu, inategemeana umeshibana vipi na yule anayeteua. DAB Aanao ushahidi!
Kebwe mkoa ulimshinda mapema muda wote kalewa wamemvumilia sn mbona naona dogo wa Hai Dc ole sebaya ananukia teuzi
 
Naomba mwenye kujua Kebwe amekosa nini anijuze.

Kilaji,
Ajali ya tanker (104 RIP),
ufisadi ktk halmashauri,
malalamiko ya watumishi wa umma,
migogoro ya ardhi,
uhasama baina ya wafugaji na wakulima

etc etc!!
 
Mwana wa Adamu alipenda mvinyo wakasema mlevi, Yohana mbatizaji mvazi yake yalikuwa ngozi ya ngamia na chakula chake ilikuwa nzige wa porini wakasema kichaa.
Katika Inchi hii Viongozi wakuu walioko amdarakani na Wastaafu ni walevi sana na wengine wana stroke za kudumu kwa sababu ya pombe lakini bado wanaheshimika na kukubalika. Huyu Mkuu wa mkoa wa Morogoro kilichomtoa madarakani ni ufanisi mdogo katika kuwasimamia viongozi walioko chini yake lakini ni Kiongozi mzoefu na aliyefanya mengi kwa Watanzania. Nafikiri imefika muda amechoka na aliamua kuacha bora liende.
Wanafalsafa husema." Wape maskini mvinyo kidogo wapate kusahau matatizo yao.
Mfalme na asipende sana mvinyo asije akafanya maamuzi yasiyo sahihi."
 
Sio hilo, habari za ndani kabisa ni kuwa Kabwe ameshindwa kudhibiti upinzani uliopo ndani ya mkoa na unakuwa kwa kasi.
Ndio maana wamepelekewa mwenyekiti wa ccm kutoka huko Arusha.
Lijualikali, Profesa J na yule mama wa Mlimba pamoja na kuzibitiwa na kuwekwa ndani, purukushani za polisi nk lakini inakuwa kama wamemwagiwa petrol kuchanja mbuga.

Siasa Siasa. Embu acha Hizo. Habari za Ndani za CHadema huzileti.
 
Kebwe mkoa ulimshinda mapema muda wote kalewa wamemvumilia sn mbona naona dogo wa Hai Dc ole sebaya ananukia teuzi
Kweli mkuu,alikuwa mpiga vyombo muda wote vyombo kichwani.
 
Morogoro ni karibu sana na Dar na Dodoma.
Pesa nyingi za kifisadi hupitishwa hapa bila viongozi wakuu wa Inchi kujua.
Kipindi wanatambua kuwa pesa imeliwa ni baada ya muda mrefu sana.
Wakandarasi wengi wanashindwa kufanya kazi katika kiwango kwa sababu pesa nyingi haielekezwi kwenye mradi.
 
Ameshindwa kujikomba na kuimba mapambio
Naomba mwenye kujua Kebwe amekosa nini anijuze.
Screenshot_20190920-143925.jpeg
 
Alafu utaniudhi sasa hv, kuuliza vitu huku una majibu ya wazi na kila mtu anajua..

1: Wilaya za Moro karibu zote rushwa ilitawala, wizi wa hela

2: Usimamizi mbovu wa viongozi wa chini yake, DC na Mkurugenzi wanagombana, miradi haifanyiki sbb kila mmoja na contractor wake mkononi, RC anang'aa macho tu na pombe full time

3: Kuna mapolisi walichukua rushwa sana kwa kampuni ya Tumbuka pale Moro na kuwanyanyasa wakuu wa kampuni ya tumbaku na Mkuu wa mkoa yuko tu..

4: Moto umechoma watu wengi Moro mwezi uliopita, sbb ya uzembe wa maaskari, maskari wako chini ya RC kama Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na Usalama, ingefaa polisi wawe aggressive baada ya ajali watimue watu, labda wangekufa wachache sana..


All ni all, Kebwe pombe na uzembe ndio vimemponza, very lazy.
Pamoja na udhaifu wake, vyombo vingine kama PCCB, Polisi Usalama havikumsaidia na kumshauri katika kadhia zote hizo? Yeye kama mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na usalama ya Mkoa alipaswa kujua vitu vyote na madudu ya watendaji wake wa chini kupitia vyombo hivyo.
Hili si Moro tu, hata PM akienda mkoa mwingine madudu yapo tele mikoani. Watendaji wengi wanafanya kazi kwa niadhamu ya woga na ndo maana ukiamua kuwachunguza unagundua madudu mengi sana
 
Huko morogoro Waziri Mkuu kayaibua na watu wamefukuzwa kazi.

Huko Dar, Mkuu mwenyewe kashuhudia kwa macho yake habari ya MACHINJIO na COCO BEACH.

RC kamwabia hawezi kujiuzulu kwa sababu ana NJAA.

MKUU KIMYAAAAAAAAA KAMA HAKUPITA VINGUNGUTI MWENYEWE.



KEBWE UNGESEMA NI NJAA TU WALLAH USINGEFUKUZWA.
 
Pamoja na udhaifu wake, vyombo vingine kama PCCB, Polisi Usalama havikumsaidia na kumshauri katika kadhia zote hizo? Yeye kama mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na usalama ya Mkoa alipaswa kujua vitu vyote na madudu ya watendaji wake wa chini kupitia vyombo hivyo.
Hili si Moro tu, hata PM akienda mkoa mwingine madudu yapo tele mikoani. Watendaji wengi wanafanya kazi kwa niadhamu ya woga na ndo maana ukiamua kuwachunguza unagundua madudu mengi sana
Naunga mkono hoja.
Steven Kebwe ni Daktari wa binadamu. Aliingia kwenye siasa mwaka 2010 aliposhinda kiti cha ubunge jimbo la Serengeti. Akahudumu kama Naibu Waziri wa Afya kwa miaka 2.

Mwaka 2015 akarudia lakini akashidwa na Mbunge aliyepo. Jamaa ni muungwana sana, msomi mzuriu kwenye fani yake ila namuonea huruma kuwa kwenye Serikali ya awamu hii ambayo haiheshimu watendaji wanaofuata taratibu.

Mkuu wa mkoa hana mafungu ya fedha. Pesa zote na maelekezo ya matumizi yake zinapelekwa kwa Wakurugenzi wa Halmashauri za Miji na Manispaa na sio lazima wampe taarifa za miradi inayopatiwa pesa na serikali kuu,

Mkuu wa Mkoa ni kiongozi wa kisiasa kwenye eneo lake na hata kufatilia bajeti za miradi kwenye Halmashauri hua ni kiherehere chao tu na kujiongeza maana hakuna muongozo kiutaratibu wa utawala wa kuwawezesha kufanya hivyo. Miongozo ya kiutendaji imewataja na kuwatambua ma RC kama Wenyeviti wa Kamati za Ulinzi na Usalama japo pia wanaongoza vikao vya MCC

Ni siasa za siku hizi ndio zinawapa pressure ya kutaka wafatilie miradi ambayo kiuhalisia wala hawajui imepangiwa kiasi gani mpaka waelezwe na Wakurugenzi lakini Mkurugenzi aki mess na RC is in for it.

Kazi za Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama ni zipi?

Mkuu wa Mkoa, Mkuu wa Wilaya, Mkurugenzi, RAS na DAS wote ni presidential appointees. Practically hakuna wa kumuwajibisha mwenzake

Mkuu wa mkoa kama alivyo mkuu wa Wilaya jukumu lake la moja kwa moja ni kuangalia usalama hasa wa "kisiasa" kwenye eneo lake la kiutawala. Hayo mengine ya sijui kusimamia na kufuatilia miradi ni by the way tu.
 
Back
Top Bottom