Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 58,998
- 103,387
Ushauri wako nimeukubali kuhusu makosa hayo madogo madogo! Hizo ni error typing mkuu! Naukizingatia mimi sio mwandishi, ila nilichogundua ujumbe umeusoma na ukauelewa, ndio maana hujapinga hoja hata moja wala kuleta utetezi juu ya nilichoandika zaidi kuishia kuandika matusi , ooh..! Mala Mavi mala nimetumwa na makonda!
Sijashangaa maana nishalisema hapo ktk andiko kuwa! Ccm waliwasoma chadema kuwa mnajazba na kiburi ! Wakajua namna ya kuwajibu.
Makonda nae alishawajua kuwa mnajaziba na ubabe, nae akawa anawapa maneno ya kisiasa ili mlopoke nakweli ndivyo ilivyokuwa!
Hii inaonyesha chadema wanapitia njia ile ile waliyopitia wote walokataa ushauli nahisi hata wewe utakuwa kundi la walewale au utakuwa mwanachadema.
COVID19 INAUA , CHAUKUA TAHADHALI
Enzi na enzi
Dar es salaam.
Nina uwezo wa kujua typing error na uwezo duni wa kuandika. Ww una uwezo duni wa kuandika, na wala sio kwakuwa sio muandishi. Najiuliza inakuwaje hizi id karibia zote zenye maudhui sawa na yako, ziwe na tatizo la kiuandishi. Nimekujibu kwa usahihi kutokana na uchafu ulioandika, na mwenendo wako wa kiuandishi.
Sioni ni kwa vipi ungeweza kuelewa nilichoandika wakati hata kuandika tu kwako ni shida. Maana nijuavyo mimi, unaanza kujua kuandika kwanza, kisha ndio unahamia hatua ya kuelewa kilichoandikwa. Ww bado uko kwenye hatua ya kujifunza kuandika, maliza hatua hiyo kwanza ndio urukie mengine.