Loads of coadswallop! Hii habari haijakamilika, na ndio waandishi wa kibongo wa miaka hii kwa kweli ni waandishi holela, ovyo kabisa! Na wasomaji nao upeo wa kuchambua pumba ni zero kabisa, kaazi kwelikweli! Matokeo yake ni malumbano ya kibwege.Kortini kwa kubakia msikitini
Mashaka Kibaya Manyara
MHUDUMU wa msikiti wa Babati Mjini, Athumani Mdoe Sogora, 30, amefikishwa mahakamani kwa tuhuma za kumlawiti mtoto wa kiume mwenye umri wa miaka tisa akiwa ndani ya nyumba hiyo ya ibada, Msikiti, mkoani Manyara.
Tukio hilo la linadaiwa kutendwa na mtuhumiwa Novemba 6 mwaka jana majira ya saa 4:00 wakati Sogora alipomlawiti kijana huyo ambaye ni mwanafunzi wa darasa la nne Shule ya Msingi Bonga.
Kwa mujibu wa taarifa ya polisi kwa vyombo vya habari iliyosainiwa na kaimu kamanda wa polisi mkoa wa Manyara, Parmena Sumary kwa niaba ya Kamanda Luther Mbutu, baada ya sala ya jioni, mtoto huyo alikuwa amelala msikitini.
Taarifa inaeleza kwamba mtoto huyo alilala msikitini baada ya kutoroka nyumbani kwao kijiji cha Bonga na ndipo saa 04:00 mhudumu huyo alimlawiti na mtuhumiwa amekamatwa na alifikishwa mahakamani.
Gazeti la Mwananchi
Nilijua tu wasomi wa kiinjili utawaona humu..na wale wa kanisani vipi?
Loads of coadswallop! Hii habari haijakamilika, na ndio waandishi wa kibongo wa miaka hii kwa kweli ni waandishi holela, ovyo kabisa! Na wasomaji nao upeo wa kuchambua pumba ni zero kabisa, kaazi kwelikweli! Matokeo yake ni malumbano ya kibwege.
Humanbeing are different in character regardless of their faith, kwani hakuna kesi kama hizi zimetokea kwa ma-padre makanisani? kwenye ma-temple? hata kwa wacha Mungu wengine majumbani ( don't ask me for a proof, as there are burden of proofs)
Siwezi kuipa uzito habari kama hii pamoja na umuhimu/uzito wake na huku ughaibuni ndivyo wengi wanavyopembua kati ya pumba na mchele .
Hawa waandishi wenu wazingatie mafunzo yao na kutuletea habari kamili.
(and before you start, I don't care about one's faith) ninachotaka ni waandishi makini wanaojua jukumu lao na influence ya kalamu zao kwa jamii.
mbona maaskofu wakilawiti hakuna noma!!!!!!