Korosho -Kampuni ya Kenya imeingia mitini

Kwa taarifa yako korosho sasa hivi inawatoa watu show
Kangomba ndiyo tunataka waingie kwenye umasikini wamewaibia wakulima muda mrefu sana mkuu!
FB_IMG_1550766064153.jpeg


In God we Trust
 
Hii mambo haihitaji hasira, mijiguvu wala kuingiza makomandoo wa Jeshi. Very poorly executed. Matokeo yake mwaka huu uzalishaji wa korosho utaporomoka drastically. Na kama Dafu letu linadepend kwenye uuzwaji wa Korosho nje, basi tujiandae kununua $1 kwa 4500 very soon. Hapa zogo tuu.
 
Punguza jazba, habari ni kwamba hiyo kampuni feki ya Kenya hawajanunua hata korosho moja kama walivyosaini mkataba na serikali kwa sababu ni kampuni ya makanjanja iliyotumia frustration ya kukwama kwa ubanguaji wa korosho kupitia jeshi la vita ya uchumi lililoenda na mtutu kuhakiki mashamba ya korosho.

Sent using Jamii Forums mobile app

Hivi ile contract yao nayo ilisainiwa pale mjengoni mbele ya tibisii? Maana ndio fasheni ya siku hizi utadhani bugaluu wakati ule
 
Nimekuwa nikilisema hili toka nijiunge na JF zaidi ya miaka kumi iliyopita kwamba adui nambari one wa Tanzania ni CCM! Lakini bado wadanganyika kwa ujinga ukiotukuka wakalisukumizia jiwe kutoka CCM madaraka. Ingawa inasikitisha lakini ukweli ni kuwa wachagua hovyo wasilalamike hovyo wakitendewa hovyo...na bado.

Unajua unaweza kusimama mbele ya kioo na kujitazama kisha ukatikisa kichwa na kujiuliza "hivi na mimi ni bwege kiasi cha huyu Jiwe kuwa ndio mwamuzi wa maisha yangu?"
 
Tunarudi kulekule kilio cha kaka Lissu-umakini kusaini mikataba.
Tatizo lako unaandika unavyojisikia,ukiambiwa utoe ushahidi kuonesha kampuni imekimbia,utabakia kurembua tu
Hao wakenya wamenunua sehemu ya korosho tu,si dhambi kutafuta mnunuzi mwingine mpaka korosho ziishe
 
Aiseeee !!! baada ya kusoma andiko lako nimeona aibu sana kuwa mbongo !
Fikiria mtu maisha yake yote ameishi dampo, alizaliwa dampo, akakulia dampo, akakomaa dampo na anaahidi kufia kwenye dampo halafu tunamsukumizia majukumu ya kutuondoa kwenye dampo, atupeleke wapi?
Unajua unaweza kusimama mbele ya kioo na kujitazama kisha ukatikisa kichwa na kujiuliza "hivi na mimi ni bwege kiasi cha huyu Jiwe kuwa ndio mwamuzi wa maisha yangu?"
Swali ni je mtu huyo anajua nini nje ya dampo? Kama anaishi dampo na haoneshi kabisa nia ya kutoka dampo kwani hata makazi mapya yanapoanzishwa , yeye ni dampo tu hatoki na hapo hapo anadai hajui kwa nini dampo imekuwa makazi yake miaka yake yote hamsini na ushee duniani...hatujiulizi je samaki anajua maisha gani nje ya maji?
 
katika masuala kama haya kuna watu wanacheka wanafulahia haya yaliyo tokea ila tujue tanzania ni yetu sote tunaoumia ni sisi watu wa chini
hivyo basi washauri wa raisi au washauri wa mambo ya uchumi wanakazi gani wanashindwa kumsawishi mkuu kama ningekuwa mimi fukuza wote
hakuna cha maana wanacho fanya uraisi ni taasisi sio jukum la mtu mmoja haya sasa uchumi ndio hivyo inasua sua sasa dola moja inakalibia 2500
rai yangu tusishangilie haya watakao umia ni ndugu na jamaa zetu sote
tanzania ni yetu sote tuilinde kwa nguvu zetu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
katika masuala kama haya kuna watu wanacheka wanafulahia haya yaliyo tokea ila tujue tanzania ni yetu sote tunaoumia ni sisi watu wa chini
hivyo basi washauri wa raisi au washauri wa mambo ya uchumi wanakazi gani wanashindwa kumsawishi mkuu kama ningekuwa mimi fukuza wote
hakuna cha maana wanacho fanya uraisi ni taasisi sio jukum la mtu mmoja haya sasa uchumi ndio hivyo inasua sua sasa dola moja inakalibia 2500
rai yangu tusishangilie haya watakao umia ni ndugu na jamaa zetu sote
tanzania ni yetu sote tuilinde kwa nguvu zetu

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii yote ni process ya kuinyoosha nchi. Unakumbuka alipongezwa sana kwa hatua yake ya serikali kununua korosho?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom