simplemind
JF-Expert Member
- Apr 10, 2009
- 16,409
- 9,183
Serikali inatafuta mnunuzi mwengine.Tahadhari ya Zitto na Lema kuhusu mnunuzi hatimaye imebainika kweli.
Tanzania open to new buyers of cashew
Tanzania open to new buyers of cashew
Serikali inatafuta mnunuzi mwengine.Tahadhari ya Zitto na Lema kuhusu mnunuzi hatimaye ibainika kweli.
Tanzania open to new buyers of cashew
kweli nimeamini ule usemi wa roho ya korosho... Kwamba mtu akikuambia kuwa una roho ya korosho inabidi kujitafakari sana... Loh... Korosho koro show wewe... ndio nini hiki unafanya?kama si wapinzani CCM wangeshatuuza kwa mabeberu wa BARICK na ACACIA !
Sent using Jamii Forums mobile app
Kila tunachofanya tunashindwa(jiwe anashindwa). Ndio kwamba sisi Ng'ombe wa masikiniSerikali inatafuta mnunuzi mwengine.Tahadhari ya Zitto na Lema kuhusu mnunuzi hatimaye ibainika kweli.
Tanzania open to new buyers of cashew
Matusi hayasaidii kipindi hiki,waelezeni ukweli wananchi kuwa mshawaingiza kwenye umasikini.Uelewa wako mdogo sana!! Kwani kampuni ya Kenya ilimaliza korosho zote kuzinunua! Asshole mkubwa!
Mpuuzi kweli.Soma article kwa utulivu. Au shida lugha?Uelewa wako mdogo sana!! Kwani kampuni ya Kenya ilimaliza korosho zote kuzinunua! Asshole mkubwa!
Matusi ya nini una panicUelewa wako mdogo sana!! Kwani kampuni ya Kenya ilimaliza korosho zote kuzinunua! Asshole mkubwa!
Huyo mpaka umtafsirie ndipo ataelewa kilichoandikwa. Lugha ya malkia inawatatiza wengi.Mpuuzi kweli.Soma article kwa utulivu. Au shida lugha?
Kangomba ndiyo tunataka waingie kwenye umasikini wamewaibia wakulima muda mrefu sana mkuu!Matusi hayasaidii kipindi hiki,waelezeni ukweli wananchi kuwa mshawaingiza kwenye umasikini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe lengo lilikuwa kuwaingiza watu kwenye umaskini kwa lazima na wala siyo kuwasaidia wakulima? Mkulima atafaidikaje kwa kangomba kuingizwa kwenye umaskini?Kangomba ndiyo tunataka waingie kwenye umasikini wamewaibia wakulima muda mrefu sana mkuu!
Ilaa serikali imewaibia mwaka huu...Kangomba ndiyo tunataka waingie kwenye umasikini wamewaibia wakulima muda mrefu sana mkuu!
Aisee. Lissu kumbe wakati amelazwa kitandani na Mbowe akiwa Segerea walikuwa anamwongoza jiwe remotely mpaka akaingia MKENGE?Wapinzani ndo wamesababisha yote haya
We kiroboto ni pepopunda huna aibu kabisa utafikir ulizaliwa msituni na wawindaji.Pussy kabisa,wenzio tunalia huku kutiwa umaskini na serkali wew unaleta ujingaKangomba ndiyo tunataka waingie kwenye umasikini wamewaibia wakulima muda mrefu sana mkuu!