Herbalist Dr MziziMkavu JF-Expert Member Feb 3, 2009 42,329 33,138 Dec 1, 2012 #2 Nimeipenda jinsi ilivyokuwa nzuri ahhh jamani cha zamani ni kizuri tu Mbuzi Mzee Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
C CHUAKACHARA JF-Expert Member Jun 3, 2011 12,358 6,422 Dec 1, 2012 #3 mbona ndio maisha ya 80% ya watanzania kwani umeme umefika wapi jamani. Mi sishangai maana bado ndio main source of light at night for majority of tanzanians
mbona ndio maisha ya 80% ya watanzania kwani umeme umefika wapi jamani. Mi sishangai maana bado ndio main source of light at night for majority of tanzanians
awp JF-Expert Member Jun 6, 2012 1,711 599 Dec 1, 2012 #4 hata katikati ya mji vinapatika sana mkuu, ila moshi wake nouma
M makubazi JF-Expert Member Feb 15, 2013 2,047 362 May 27, 2014 #6 Ooyooo hii kitu niliwahi kuiyona kwa mama muuza samaki wa kukanga na sijui kwa sasa bado vipo au la