Koroboi au Kibatari bado zinadunda Bongo

MaxShimba

JF-Expert Member
Apr 11, 2008
35,772
4,054
154464_183917418415533_568522796_n.jpg
 
mbona ndio maisha ya 80% ya watanzania kwani umeme umefika wapi jamani. Mi sishangai maana bado ndio main source of light at night for majority of tanzanians
 
hata katikati ya mji vinapatika sana mkuu, ila moshi wake nouma
 
Ooyooo hii kitu niliwahi kuiyona kwa mama muuza samaki wa kukanga na sijui kwa sasa bado vipo au la
 

Similar Discussions

2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom