Korea Kaskazini, kwa Kiduku, kuwa nchi ya Kiislam?

Korea Kaskazini, kwa Kiduku, kuwa nchi ya Kiislam?

FaizaFoxy

Platinum Member
Joined
Apr 13, 2011
Posts
100,506
Reaction score
123,776
Wengi wetu tulikuwa wenye mashaka (skeptical) kuwa Kim Jong UN, al maaruf Kiduku, kaamuwa kusilimu na kuwa Muislam kamili baada ya kuusoma Uislam kwa miezi kadhaa.

Leo nimepekuwa sana mtandao na binafsi nimejihakikishia kasilimu kweli na wananchi kadhaa wa Korea Kaskazini wamemfata Rais wao kwa wao kusilimu pia na wanaendelea kusilimu.

Korea Kaskazini licha kukataza dini zote iliheshimu misikiti kutokana na hostoria ya Waislam wachache kuwa ni watu wa amani. Sasa makundi kwa makundi wanaingia Uislam kama aya ya Qur'an ilivyotabiri sura 110 ya Qur'an miaka zaidi ya 1,400 nyuma.

Kisa chake cha kusilimu ni muujiza:


View: https://youtu.be/qJvV-Nr0-Vo?si=SullMpN-7PJsi6gj
 
Asia kila nchi ina Mungu wake na dini yake.
Unataka Mungu wa North Korea aabudiwe na nani?.

Hayo mengine unayoyaona hapo ni propaganda na siasa za majitaka ili afanikishe jambo lake la siri tusilolifahamu.

Hata CR7 uliwahi tuletea bandiko humu ndani kuwa amesilimu, ila hakuna kitu kama hicho.



No reforms No Election
 
Wengi wetu tulikuwa wenye mashaka (skeptical) kuwa Kim Jong UN, al maaruf Kiduku, kaamuwa kusilimu na kuwa Muislam kamili baada ya kuusoma Uislam kwa miezi kadhaa.

Leo nimepekuwa sana mtandao na binafsi nimejihakikishia kasilimu kweli na wananchi kadhaa wa Korea Kaskazini wamemfata Rais wao kwa wao kusilimu pia na wanaendelea kusilimu.

Korea Kaskazini licha kukataza dini zote iliheshimu misikiti kutokana na hostoria ya Waislam wachache kuwa ni watu wa amani. Sasa makundi kwa makundi wanaingia Uislam kama aya ya Qur'an ilivyotabiri sura 110 ya Qur'an miaka zaidi ya 1,400 nyuma.

Kisa chake cha kusilimu ni muujiza:


View: https://youtu.be/qJvV-Nr0-Vo?si=SullMpN-7PJsi6gj

Video inayodai kuwa Kim Jong Un amesilimu ilichapishwa kwenye Dailymotion mnamo Februari 5, 2015. Hata hivyo, uchunguzi umebaini kuwa video hiyo ni ya kughushi (deepfake) na haionyeshi tukio halisi.

Kwa mfano, Kompas.com ilithibitisha kuwa video hiyo ni ya uongo na imetengenezwa kwa kutumia teknolojia ya AI. Vilevile, JalaHoaks Jakarta ilitumia zana za Hive Moderation na Deepware kuthibitisha kuwa video hiyo ni ya kughushi kwa asilimia 99.7.

Korea Kaskazini ni nchi rasmi ya kikomunisti inayopinga dini kwa kiasi kikubwa. Ingawa katiba yao inadai kutoa uhuru wa dini, kwa vitendo, serikali hudhibiti kabisa shughuli zote za kidini.

Hakuna misikiti ya umma nchini Korea . Misikiti pekee inayojulikana ni ile ya Ar-Rahman iliyoko ndani ya ubalozi wa Iran mjini Pyongyang, ambayo hutumiwa na wafanyakazi wa ubalozi na wageni wa Kiislamu pekee.

Source ChatGPT
 
Asia kila nchi ina Mungu wake na dini yake.
Unataka Mungu wa North Korea aabudiwe na nani?.

Hayo mengine unayoyaona hapo ni propaganda na siasa za majitaka ili afanikishe jambo lake la siri tusilolifahamu.

Hata CR7 uliwahi tuletea bandiko humu ndani kuwa amesilimu, ila hakuna kitu kama hicho.



No reforms No Election
Soma post ya 8, Muongo huyu bibi
 
Wengi wetu tulikuwa wenye mashaka (skeptical) kuwa Kim Jong UN, al maaruf Kiduku, kaamuwa kusilimu na kuwa Muislam kamili baada ya kuusoma Uislam kwa miezi kadhaa.

Leo nimepekuwa sana mtandao na binafsi nimejihakikishia kasilimu kweli na wananchi kadhaa wa Korea Kaskazini wamemfata Rais wao kwa wao kusilimu pia na wanaendelea kusilimu.

Korea Kaskazini licha kukataza dini zote iliheshimu misikiti kutokana na hostoria ya Waislam wachache kuwa ni watu wa amani. Sasa makundi kwa makundi wanaingia Uislam kama aya ya Qur'an ilivyotabiri sura 110 ya Qur'an miaka zaidi ya 1,400 nyuma.

Kisa chake cha kusilimu ni muujiza:


View: https://youtu.be/qJvV-Nr0-Vo?si=SullMpN-7PJsi6gj

Hahaha ujinga ni mzigo sana. Ulinifundisha mwenyewe.
 
Hahaha ujinga ni mzigo sana. Ulinifundisha mwenyewe.
Umewahi kuisoma sura ya ushindi? Ipitie japo kidogo:

1_0.gif

KWA JINA LA MWENYEEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU 0


110_1.gif

1. Itakapo kuja nusura ya Mwenyezi Mungu na ushindi, 1


110_2.gif

2. Na ukaona watu wanaingia katika Dini ya Mwenyezi Mungu kwa makundi, 2


110_3.gif

3. Zitakase sifa za Mola wako Mlezi, na umwombe msamaha; hakika Yeye ndiye anaye pokea toba. 3
 
Asia kila nchi ina Mungu wake na dini yake.
Unataka Mungu wa North Korea aabudiwe na nani?.

Hayo mengine unayoyaona hapo ni propaganda na siasa za majitaka ili afanikishe jambo lake la siri tusilolifahamu.

Hata CR7 uliwahi tuletea bandiko humu ndani kuwa amesilimu, ila hakuna kitu kama hicho.



No reforms No Election
Najuwa wengi ushindi huu unawauma sana. Siwashangai.
 
Umewahi kuisoma sura ya ushindi? Ipitie japo kidogo:

1_0.gif

KWA JINA LA MWENYEEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU 0


110_1.gif

1. Itakapo kuja nusura ya Mwenyezi Mungu na ushindi, 1


110_2.gif

2. Na ukaona watu wanaingia katika Dini ya Mwenyezi Mungu kwa makundi, 2


110_3.gif

3. Zitakase sifa za Mola wako Mlezi, na umwombe msamaha; hakika Yeye ndiye anaye pokea toba. 3
Allah ni myth tu, kashindwa kumlinda Agather dhidi ya madhalimu.
 
Back
Top Bottom