Konyagi badilikeni kidogo

Konyagi badilikeni kidogo

Nyagiiiiii ! Ndio ugonjwa wangu huo ! Just kamzinga kadogo kamoja nakuwa hoi... ! Sinywagi bia mie
 
Viroba ni shida kwa kweli mimi konyagi imenishida asee Ni Jebel na Safari
 
Mimi ni mnywaji kidogo wa kinyagi, hasa weekend, tatizo ni kufungua kinywaji hiki, mara upige kwa chini, mara uinamishe juu chini, yaani ni shida tu. Sasa uwe umekosea kidogo, ni lazima utafute kisu ukate sill.

Kisomo cha namba kinaanza kujibu. Watoto wa mama sasa mnataka mfundishwe hata kufungua konyagi maana mihamara hiruhusu kupiga bia. Waulize wenzio miaka yote wanafunguaje?
 
Mi si mnywaji wa hii kitu lakin ni simple sana kufungua hii kitu. Chukua chupa yako kisha iweke upside down kwa takriban sekunde 40,Hapo itafunguka kiulaini kama chupa ya maji hakuna haja ya kuigonga gonga......fanya hivyo kisha leta mrejesho.
Well said nimejaribu nimefungua kiulaini Kama kumsukuma mnywa viroba
 
iih ni gongo ambayo imethibitishwa na TBS......!!!1
haina namna, toroka uje kwenye gongo halisi, haina mbwembwe izo, unapewa tu kwenye ki glass..habari imejiishia😀😀😀
 
Back
Top Bottom