Kongowe, Dar: Panya road wafanya yao...

Kongowe, Dar: Panya road wafanya yao...

Midomo jumba la maneno.mpo kolomije mtajuaje ya dar?watu wana mapanga n.k.wamejiandaa utapambana nao vipi.?naona video zimekuja mpaka huko mikoani.Yale mnayoyaona kwenye video MTU mmoja anapigana na watu 100.ni maigizo sio kweli.usije ukajaribu ICU.itahusika
 
Kwahiyo hiki kikundi kipya pia mtakuwa mnakikimbia na kujifungia ndani saa 12 jioni au hawa mtapambana nao?

Ila wanaume wa Dar mnatuangusha sana wanaume wenzenu.

unazungumzia panya rod hawa huenda wakawa ni kikundi kipya hawa 😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀 maana nilisikia pia kuna panya road
 
Back
Top Bottom