Kongowe, Dar: Panya road wafanya yao...

Kongowe, Dar: Panya road wafanya yao...

Wanaume wa dar wanachokiweza ni ku "sheki"
 
Cha ajabu hao wanaokimbizwa wengi ni wanaume wa Dar waliokuja kutoka mikoani! Sisi wenyewe hao panya road wanatujua hawathubutu kutufanyia fujo.
 
Ni lile kundi lenye 115 wa bashite lipo field nadhani...!
 
Daud Bashite ndio mmiliki wa vikundi vya kihalifu jijini Dar, wala msiumize akili zenu.
Huyu ni Bashite tu hamna mwingine.
Jambazi mvamia studio sasa amegeuka panya road.

Gwajima yuko sawa kwamba asipodhibitiwa huyu ataleta madhara makubwa
 
Kama mwenyekiti wa usalama na ulinzi naye huwa anavamia sehemu sembuse hao!
 
Hakuna cha panya road wala shangazi yake panya road
 
Vijana Wa mzinga ,Maputo, Kokoto, kongowe, chatembo, mpaka mwandege magengeni ni Wa kuwa angalia sana kwa umakini, wanape da sana utata na ngumi mkononi kila muda .
 
Wanaume wa Dar hamna kitu... wao ni walaji wazuri wa supu ya pweza na mahindi ya kuchoma kwa pili pili na ndimu. Mamaeeee wanaume wa dar marofa kweli
 
Pamoja na fiesta kuipa promo Singeli huku kanda ya ziwa tumeshindwa kuipokea kabisa, yaani mwanaume wa mkoani abinue matako na kukata viuno,ptuuu!
Sasa nyie wacheza singeli acha mpigwe tu, mwanaume wa Dar anaogopa wembe!
 
Back
Top Bottom