Kongowe, Dar: Panya road wafanya yao...

Kongowe, Dar: Panya road wafanya yao...

davie dee

JF-Expert Member
Joined
May 17, 2015
Posts
934
Reaction score
1,215
Kimenuka maeneo ya mzinga Kongowe jijini Dar es Salaam vijana wahuni almaruuf kama panya rod wanafanya yao wameteka gari ilokua na msafara wa harusi na kuwajeruhi baadhi ya watu waliomo...

Taarifa zaidi na picha znakuja mda si mrefu
 
Ila watu wa dar bhana! mpaka lini sasa haya? Usikute hapo kuna idadi kubwa ya watu na wakazi wengi lakini hawakuchukua hatua yoyote
Tena wameanzia mtaan hdi kituo cha daladala ndo vurugu zmekolea hapo
 
Wanaume wa Dar mmekimbia hivyo vitoto na kujifungia majumbani?????

Mbona mnatutia aibu jamani?
 
unazungumzia panya rod hawa huenda wakawa ni kikundi kipya hawa 😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀 maana nilisikia pia kuna panya road
 
Bila shaka mmemuua kijana wao mmoja sasa kwa hasira wanasambaza dozi

Kamishna sirro yupo busy na akina TID ,Hussein pambakali ,wema nk
 
Back
Top Bottom