Kong'ota

nahisi wa kusema kauli jizo si mwingine ni mpoki. wana jf zawadi ya ushidi
 
A.B.C.D.E.F.G.H.I.J.K.L.M.N.O.P.Q.R.S.T.>>>Chukua ufuto wa penseli yako,futa mchanganyiko wa alfabeti na konsonati 7 za mwanzo,halafu ruka nenda kaanzie mbele kurudi nyuma futa 7 tena.Hizo mbili zilizobaki ndo jibu lako!,ila usilitaje,ukilitaja ni wewe sio mimi.
 
Mkuu Yutong mbona hutaki kutoa jibu na mji unatajiwa basi tukuchagulie ndege.
 
Wafaransa wanasema;'ukiona uji ni wa moto sana,anza kuunywa pembeni,usianzie katikati'.Watu wanazunguka tu,jibu wanalo,uji ukipoa watakupa jibu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom