wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 24,688
- 26,796
Nasikia kipanya buku nae atatimkia efm..Katambulishwa leo kipindi cha power breakfast
Joke bhana
Sent using Jamii Forums mobile app
Nasikia kipanya buku nae atatimkia efm..Katambulishwa leo kipindi cha power breakfast
Tena mbunge wa binadamu na wanyamaNi mbunge wa zamani au aliyewahi kuwa mbunge sio mstaafu,huyo aligombea tena akashindwa kwa mujibu wa matokeo ya tume ya uchaguzi hakuwahi kustaafu naona hili neno kustaafu siku hizi linatumika vibaya.
Binafsi nawajua wabunge kadhaa waliowahi kustaafu mfano Marehemu Mzindakaya, Marehemu Sitta,Mzee Edger Majogo,Mzee Pinda hawa waliamua kuacha kugombea wenyewe baada ya kutumikia ubunge kwa muda fulani na wakafikia uamuzi wa kuachia wengine wabebe jukumu lakini sio hawa wanaogombea na kushindwa waitwe wastaafu.
Last wiki kuna sentensi ya utani Aliongea masoud Babra akamind wakatoleana maneno wakati kipindi kikiendeleaLini hiyo mkuu na huo ugomvi ulikua unahusu nini??
Vp keshafukuzwa hapo clouds?maana simsikii tenaKutoka Ubunge hadi utangazaji ni failure.
Hivi kweli Professor J. ameshindwa hata kuwekeza kwenye kilimo cha mpunga kule Morogoro, anaishia kuwa mtangazaji?
Kiinua mgongo alichopata kwenye Ubunge ni mtaji tosha wa kuanzisha kilimo cha kisasa kuliko kuwa mpiga kelele redioni.
kwnn humshangai millard ayo kung'ang'ania clouds pia badala ya kufungua tv au redio yake.Kwa upande mmoja nimpe pongezi kwa maamuzi binafsi ya kwenda kuwa mtangazaji clouds.
Ila kwa upande mwingine wa kwangu binafsi simpi pongezi kwa uamuzi aliofanya. Kwa level yake na hassle ya mda mrefu aliyofanya, mpaka kufikia kuwa mbunge, ametengeneza brand kubwa sana.
Nilitegemea atengeze ajira kwa vijana na angalau afungue redio yake binafsi! Kwa brand yake nina uhakika ingefanya vizuri sana.
Angekuwa amefanya la maana sana kuliko kwenda kuishi kwa masharti ya mwisho wa mwezi na kufanyia kazi mawazo ya mtu.
Profesa Jay,wee ni brand kubwa hebu jiongeze zaidi, acha hizo, wee ni role model wa vijana wengi, usiwaangushe!!
Nadhani sio sahihi sana kulinganisha hawa watu, kuna utofautikwnn humshangai millard ayo kung'ang'ania clouds pia badala ya kufungua tv au redio yake.
Vipi bado anaendelea kusikika hapo ccm radio!?Wale ndugu zangu walio kunywa maji ya bendera ya vyama vyao vya siasa "......clouds CCM........ mimi si sikilizi Clouds sababu ni CCM......",haya sasa Prof J huyo mjengoni,sijui mtampokonya uwanachama.
Muulize aliyeleta uzi.Vipi bado anaendelea kusikika hapo ccm radio!?
Aisee! Umemkana mara hii.Muulize aliyeleta uzi.
Nimekana nani?Aisee! Umemkana mara hii.
Wewe ndiye uliyesapoti kuwa jamaa anafanya utangazaji hapo redioni na ukawananga wale wanaosema hawasikilizi clouds redio ya ccm. Umesahau au umejisahaulisha!?Nimekana nani?
Hii Kwake sio kama ajira,inawezekana anatumika kwa umaharufu wake,ni mwanamuziki,aliwahi kuwa Mbunge,kwahiyo ana wafuasi wengi kwenye jamii,Pongezi kwako kwa maamuzi hayo ya kuwa mtangazaji bado ni fursa nzuri naomba nikutakie heri na wanaJF tumtakie heri mbunge huyu mstaafu wa Mikumi.
--
Clouds kupitia mitandao ya kijamii wameandika haya
Jana kwenye mitandao yetu ya kijamii tulisema leo kwenye #PowerBreakFast kwa mara ya kwanza utasikia sauti ya usajili mpya... Ladies and gentlemen na huyu @ProfessorJayTz ndiyo usajili mpya ndani ya PB.
Sijasahau hoja yangu nimeijenga kutokana na maada ilivyo andikwa, so unaweza ukaMP aliye andika hii thread akakupa majibu.Wewe ndiye uliyesapoti kuwa jamaa anafanya utangazaji hapo redioni na ukawananga wale wanaosema hawasikilizi clouds redio ya ccm. Umesahau au umejisahaulisha!?
Wewe kubali tu uliandika pumba!Sijasahau hoja yangu nimeijenga kutokana na maada ilivyo andikwa, so unaweza ukaMP aliye andika hii thread akakupa majibu.