GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,544
- 108,864
Wenye Akili kubwa Kukuzidi tukiwa tunasema una matatizo makubwa katika Kichwa chako huenda kutokana na Changamoto za Kiasili ulizonazo uwe unatuelewa.
Jana 'Umeropoka' kadri uwezavyo baada ya Kutumwa na Waliokutuma kutoka Kariakoo na Mbagala na mwishoni ukasema kuwa unaomba upatiwe Ulinzi ukisema kuwa unatuhumiwa Kuhujumu huko ulikokuwa.
Hivyo basi nami GENTAMYCINE nakuuliza Haji Manara kati ya Shutuma zako zisizo na Ushahidi kwa Maadui zako na zile zako Kubwa Mbili za hivi karibuni ni nani unadhani ndiyo anatakiwa aseme anahitaji Ulinzi?
Kauli yako kwa Mtangazaji wa Clouds FM Prisca Kishamba ukimwambia kuwa Utamdhalilisha kwakuwa una Meseji zake nyingi ( tena ukimwambia mbele ya Waandishi wa Habari Wenzake ) unadhani Mtangazaji huyu akiamua 'Kukushtaki' kwa Makosa ya Kimtandao, Kumdhalilisha na Kumtishia leo hii utakuwa nasi Uraiani?
Kauli yako mbele ya Waandishi wa Habari ( na ambayo ipo katika Mitandao mbalimbali ) na mpaka katika 'inserts' za Redio nyingi ukimtishia CEO wa Simba SC Barbara Gonzalez kuwa utamkomesha na kumuonyesha Wewe ni nani na jana tena katika Press Conference yake ukasema una Meseji zake nyingi unadhani Mwanadada huyu akiamua 'Kukushtaki' leo hii utaendelea Kufaidi huko 'Kutumikishwa' Kwako na hao Azam Media, ASAS na GSM?
Haji Manara unajiita 'Mtoto wa Mjini' hivi leo hii umesahau wale Watanzania ( Watu ) baadhi waliokuwa 'Wakitumika' Kuwachafua Wenzao nchini Tanzania ( hasa wa Maslahi ya Kisiasa ) na hata 'Kiumaarufu' mwisho wao uko wapi?
Labda nikuambie na tena nikutahadharishe tu kuwa hakuna Watu ambao Tanzania hii 'Wametumika' ama iwe Kisiasa, Kidemokrasia, Kijamii na Kiuchumi walibaki kuwa Salama na hata Kuyafurahia Maisha yao. Mifano juu ya hii ipo mingi tu najua hata Wewe unayo na unaijua pia.
Wanaokushauri na kukupa hicho Kiburi, Nyodo na Jeuri zote ulizonazo sasa huku wakikutuma kufanya ulichokifanya nakuhakikishia Haji Manara ndiyo hao hao muda si mrefu 'Watakugeuka' na kukuacha peke yako 'Ukitaabika' kwani hakuna Mwanaume anayeirudia 'Condom' aliyoitumia na Kumpa Utamu wa Tendo la Ndoa.
Unatumika kama 'Condom' ila hujui tu!!!
Jana 'Umeropoka' kadri uwezavyo baada ya Kutumwa na Waliokutuma kutoka Kariakoo na Mbagala na mwishoni ukasema kuwa unaomba upatiwe Ulinzi ukisema kuwa unatuhumiwa Kuhujumu huko ulikokuwa.
Hivyo basi nami GENTAMYCINE nakuuliza Haji Manara kati ya Shutuma zako zisizo na Ushahidi kwa Maadui zako na zile zako Kubwa Mbili za hivi karibuni ni nani unadhani ndiyo anatakiwa aseme anahitaji Ulinzi?
Kauli yako kwa Mtangazaji wa Clouds FM Prisca Kishamba ukimwambia kuwa Utamdhalilisha kwakuwa una Meseji zake nyingi ( tena ukimwambia mbele ya Waandishi wa Habari Wenzake ) unadhani Mtangazaji huyu akiamua 'Kukushtaki' kwa Makosa ya Kimtandao, Kumdhalilisha na Kumtishia leo hii utakuwa nasi Uraiani?
Kauli yako mbele ya Waandishi wa Habari ( na ambayo ipo katika Mitandao mbalimbali ) na mpaka katika 'inserts' za Redio nyingi ukimtishia CEO wa Simba SC Barbara Gonzalez kuwa utamkomesha na kumuonyesha Wewe ni nani na jana tena katika Press Conference yake ukasema una Meseji zake nyingi unadhani Mwanadada huyu akiamua 'Kukushtaki' leo hii utaendelea Kufaidi huko 'Kutumikishwa' Kwako na hao Azam Media, ASAS na GSM?
Haji Manara unajiita 'Mtoto wa Mjini' hivi leo hii umesahau wale Watanzania ( Watu ) baadhi waliokuwa 'Wakitumika' Kuwachafua Wenzao nchini Tanzania ( hasa wa Maslahi ya Kisiasa ) na hata 'Kiumaarufu' mwisho wao uko wapi?
Labda nikuambie na tena nikutahadharishe tu kuwa hakuna Watu ambao Tanzania hii 'Wametumika' ama iwe Kisiasa, Kidemokrasia, Kijamii na Kiuchumi walibaki kuwa Salama na hata Kuyafurahia Maisha yao. Mifano juu ya hii ipo mingi tu najua hata Wewe unayo na unaijua pia.
Wanaokushauri na kukupa hicho Kiburi, Nyodo na Jeuri zote ulizonazo sasa huku wakikutuma kufanya ulichokifanya nakuhakikishia Haji Manara ndiyo hao hao muda si mrefu 'Watakugeuka' na kukuacha peke yako 'Ukitaabika' kwani hakuna Mwanaume anayeirudia 'Condom' aliyoitumia na Kumpa Utamu wa Tendo la Ndoa.
Unatumika kama 'Condom' ila hujui tu!!!