Kondaktaaa

bampami

JF-Expert Member
Nov 5, 2011
5,697
4,107
nds Messages Mlokole: "Nyimbo gani
mnapiga?!? Wekeni
nyimbo za yesu.."
Konda: "Vunga wewe, Yesu
bado hajatoa album..."
******************************** Abiria: "Kuna Kiti au
unasema panda tu!?"
Konda: "We taahira nini,
hao wengine wamekalia
ndoo?! "
******************************* Abiria: "Embu punguzeni
sauti ya redio..."
Konda: "Sheria za nchi tu
ziko za kutosha, tusikilize
na zako!?"
******************************* Mmama: "Bwana ondoa
gari joto sana!!"
Konda: "Uctuzingue wewe,
shuka upande fridge...."
******************************
Konda: "Anti, kuna siti pale nyuma,ingia...."
Anti: "Siwezi kaa siti za
nyuma..."
Konda: "Kwenda zako
wewe, sio muendaji!!!
Kwani za nyuma ziko nje ya gari?!"
********************************
Sister duu: "Konda
unanibana bwana..."
Konda: "Zinabanana ndizi
haziongei, kama ulitaka kujiachia c ungekoni treni
pekeyako!!!"
*******************************
Sharobaro: "Kuna kiti?!
Kama hamna sipandi..."
Konda: "Mpuuzi kweli, wa wapi wewe... Kama ulikuwa
unaogopa kukosa kiti c
ungebeba chako!!?"
*************************
 
Duu..
Ila pouwa..
Baada ya mech ya Ars na Chrls mda huu, nahadithia kama nilikuwepo ndani ya hilo imaginal bus..
 
aisee mbavu zangu kwishney.hii kali
ndo raha ya kupanda daladala
 
marudio, ishakaa hapa kwenye titled "Majibu ya kukatisha tamaa "kitu kama hicho, jamani muwe mnasoma kabla ya ku copy n paste
 
marudio, ishakaa hapa kwenye titled "Majibu ya kukatisha tamaa "kitu kama hicho, jamani muwe mnasoma kabla ya ku copy n paste

Ni kweli kabisa hii siyo mpya hapa, amefanya ubunifu kidogo sana lakini maudhui ni yale yale:spy:
 
Kwa kawaida ukiingia kwenye daladala jiandae kucheka au kukasirika au yote kwa pamoja!
 
nds Messages Mlokole: "Nyimbo gani
mnapiga?!? Wekeni
nyimbo za yesu.."
Konda: "Vunga wewe, Yesu
bado hajatoa album..."
******************************** Abiria: "Kuna Kiti au
unasema panda tu!?"
Konda: "We taahira nini,
hao wengine wamekalia
ndoo?! "
******************************* Abiria: "Embu punguzeni
sauti ya redio..."
Konda: "Sheria za nchi tu
ziko za kutosha, tusikilize
na zako!?"
******************************* Mmama: "Bwana ondoa
gari joto sana!!"
Konda: "Uctuzingue wewe,
shuka upande fridge...."
******************************
Konda: "Anti, kuna siti pale nyuma,ingia...."
Anti: "Siwezi kaa siti za
nyuma..."
Konda: "Kwenda zako
wewe, sio muendaji!!!
Kwani za nyuma ziko nje ya gari?!"
********************************
Sister duu: "Konda
unanibana bwana..."
Konda: "Zinabanana ndizi
haziongei, kama ulitaka kujiachia c ungekoni treni
pekeyako!!!"
*******************************
Sharobaro: "Kuna kiti?!
Kama hamna sipandi..."
Konda: "Mpuuzi kweli, wa wapi wewe... Kama ulikuwa
unaogopa kukosa kiti c
ungebeba chako!!?"
*************************

hahahaaaaaaaaaaa,buji buji yuko wapi? kaiona hiyo?
 
Back
Top Bottom