Hamna ni chai iliyochachushwa, wengine huweka vionjo mbali mbali kama tangawizi, au ladha ya matundaNi beer ?
Nilipika sana hii kitu back then ukikosa pesa ya Beer. Hii ni Chai, weka Hamira na baadhi ya vionjo. Ifunike kwenye ndoo kwa siku kadhaa hivi.View attachment 2884410Wakuu wa JF! Nani amewahi kutumia hiki kinywaji aina ya KOMBUCHA atupe uzoefu wake
Natural drinkView attachment 2884410Wakuu wa JF! Nani amewahi kutumia hiki kinywaji aina ya KOMBUCHA atupe uzoefu wake
Ni tangawizi hiyo, imewekwa sukari kwa mbali, nimetumia mara moja tu kujua ladha yake na side effect yake ikoje mwilini. Nimeambiwa hata kwa shughuli ile ya majambozi inafanya vizuri hutaaibika kwa kwenda mwendo mfupi.
Ni tangawizi hiyo, imewekwa sukari kwa mbali, nimetumia mara moja tu kujua ladha yake na side effect yake ikoje mwilini. Nimeambiwa hata kwa shughuli ile ya majambozi inafanya vizuri hutaaibika kwa kwenda mwendo mfupi.
Umewahi itumia ?
Bora kula nyeto tu🚮Ya hovyo hyo sijapata ona yan utachelema goli la kwanza ila la pili ni dkk 2-3
Mimi ndio Nilikuwa agent wa kwanza kibahaUmewahi itumia ?