Kolo Toure akamata JIKO

Ila lile sharti la kunipa vitz halihusiani na cleavage, manake shurti yapumue kidogo jamani!

Catwalk tunafanya lini?

Sharti mstari wa nne na watano ndio gumu, kwa muono wangu. Nimeongeza dau, umeona eeh!
 
Kinachotakiwa ni asionyeshe nywele zake, labda hizo za bandia ndo kilemba with style,lol! Labda kama akioga hakoshi nywele (mwl zomba msaada tafadhali) Well, afadhali nywele kuliko cleavage bana! Men don't stare at the head (tunajilegezea masharti hahaha)
Nywele hazimati mme ni muislam mke sio muislam ndo maana kawaonyesha nywele hizo King'asti
 
Last edited by a moderator:
Kinachotakiwa ni asionyeshe nywele zake, labda hizo za bandia ndo kilemba with style,lol! Labda kama akioga hakoshi nywele (mwl zomba msaada tafadhali)
Well, afadhali nywele kuliko cleavage bana! Men don't stare at the head (tunajilegezea masharti hahaha)

Duuh kama ni weaving au lace front kalitia la 200k TSh wafikiri atalitoa siku ya pia? Wengi tu tunajilegezea masharti kwa manufaa yetu. Mungu atuongoze!
 
Dini hii hii upande wa Cameroon inaruhusu viduku, hapa kwetu ni dhambi. Hapa unaruhusiwa kufuga ndevu tu ndio suna
 
Kwa kurukia hiyo link hapo, utagundua jamaa ana wana-haramu wawili (kwa mujibu wa dini yake) kwa hiyo wakifa watazikwa kama bobi na watatumia jina la mama yao kama ubin

Hilo la wanaharamu nimeliona sikutaka kucomment maana ningeambia ni mdini zaidi
 
King'asti ni kweli uyasemayo, wengi hufata mkumbo na huwa dunia imewashika kuliko mafundisho ya Kiislaam na ya Kikristo, sidhani kama Wakristo wanaruhusiwa "cleavage" wazi iwe kwenye harusi au si harusi.

Hivi uliulizwa UNAFIKIRI NINI KUHUSU WAKRISTO au uliulizwa KWA WAISLAMU TARATIBU ZIKOJE? Wewe jibu ulipoulizwa na sio kudhania dhania vitu.

Kuna maswali hapa yanahitaji majibu na wewe uko bize kudhania dhania, ebo!
1. Huyu jamaa alishagonga mzigo na ana wana-haramu wawili, je hawa wanaharamu wakifa, kaburi lao litaandikwa Toure au Fatuma kama ubini?
2. Mule ndani ya kibaraghashia mmenyolewa 'denge', je kwa dini yetu ya Zanzibar sio dhambi kuingia na denge msikitini?
3. Watoto haramu kama wa Habib, wanaoshwa wapi wasiwe haramu tena?
4. Je, hawa wana-haramu wakizaa watoto na watoto wao ni haramu pia?
Karibu mufti kwa majibu
 
Hivi uliulizwa UNAFIKIRI NINI KUHUSU WAKRISTO au uliulizwa KWA WAISLAMU TARATIBU ZIKOJE? Wewe jibu ulipoulizwa na sio kudhania dhania vitu.

Kuna maswali hapa yanahitaji majibu na wewe uko bize kudhania dhania, ebo!
1. Huyu jamaa alishagonga mzigo na ana wana-haramu wawili, je hawa wanaharamu wakifa, kaburi lao litaandikwa Toure au Fatuma kama ubini?
2. Mule ndani ya kibaraghashia mmenyolewa 'denge', je kwa dini yetu ya Zanzibar sio dhambi kuingia na denge msikitini?
3. Watoto haramu kama wa Habib, wanaoshwa wapi wasiwe haramu tena?
4. Je, hawa wana-haramu wakizaa watoto na watoto wao ni haramu pia?
Karibu mufti kwa majibu

Peleka jukwaa la dini , wacha kuharibu mada.

Ukristo unaruhusu kuwacha "cleavage" wazi?
 
Peleka jukwaa la dini , wacha kuharibu mada.

Ukristo unaruhusu kuwacha "cleavage" wazi?

Kujadili kama UKRISTO UNARUHUSU KILIVAJ hata hapa inafaa ila maswali yangu ndio magumu kuyajibia hapa. Wewe ni wa kusema hili la dini na hili si la dini? Umekimbia kujibu maswali kama kawaida yako na badala yake unajibu mipasho na kuongeza yasiyokuwepo ili mradi swali lisijibike.

Kama unajua kuwa kuna jukwaa la dini, bila shaka una nafasi nzuri ya kuwaambia wale wahuni kule Zanzibar kuwa, KAMA WANACHODAI NI HAKI YA ZANZIBAR KUJITAWALA, BASI WAPANDE KWENYE MAJUKWAA YA KISIASA NA SIO KWENYE MISIKITI. Umekimbia hili swali kule na kuja kujifanya una busara ya kutenganisha dini na siasa hapa kwenye upotofu unaoukosea majibu.

Maswali yangu bado yanadumu: PANKI, WANA HARAMU?

Halafu swali lako kuhusu Ukristo sitaweza kulijibu kwa kuwa wewe na MadameX mnatumia lugha ya kigeni, mimi sijui maana ya KLEVELIJ hata kutamka sijui
 
Hivi uliulizwa UNAFIKIRI NINI KUHUSU WAKRISTO au uliulizwa KWA WAISLAMU TARATIBU ZIKOJE? Wewe jibu ulipoulizwa na sio kudhania dhania vitu.

Kuna maswali hapa yanahitaji majibu na wewe uko bize kudhania dhania, ebo!
1. Huyu jamaa alishagonga mzigo na ana wana-haramu wawili, je hawa wanaharamu wakifa, kaburi lao litaandikwa Toure au Fatuma kama ubini?
2. Mule ndani ya kibaraghashia mmenyolewa 'denge', je kwa dini yetu ya Zanzibar sio dhambi kuingia na denge msikitini?
3. Watoto haramu kama wa Habib, wanaoshwa wapi wasiwe haramu tena?
4. Je, hawa wana-haramu wakizaa watoto na watoto wao ni haramu pia?
Karibu mufti kwa majibu


1. Si kwamba ni lazima mpaka wafe, hata wakiwa hai hawaruhusiwi kutumia jina lake, kumrithi au kurithiwa naye, kuwa waliy yaani kumuozesha ikiwa ni wa kike na haki zote azipatazo mtoto kwa baba au baba kwa mtoto ktk sheria za kiislam.
2. Mkuu, Hakuna dini ya Zanzibar. Style ya unyoaji haimzuii mtu msikitini unless uwe umenyoa kihuni coz uislam hauruhusu aina yoyote ya uhuni si kwenye unyoaji tu hata mavazi na vinginevyo.
3. Watoto hawana kosa lolote, uharamu hapo ni ktk hayo niliyoyataja kwenye na. 1 hapo juu, si kwamba hawastihili kuwepo duniani, si kwamba ni banadamu haramu kama ulivyoelewa wewe la hasha,hilo ni kosa la baba yao na wao watahukumiwa kwa makosa watakayoyafanya wao wenyewe ktk maisha yao na hili la baba yao haliwahusu kabisa.
4. Wakizaa nje ya ndoa kama alivyofanya baba yao inakuwa the same, wakifuata tartibu hakuna tatizo.
Hope umenisoma mkuu.
NB. Iwapo nimeteleza mahala kwa wale wanaofahamu zaidi wanirekebishe tu, maana wa Allahu 'aalam (Mwenyezimungu ndiye anayejuwa zaidi)
 
Siunajua mashabiki wa man united wao wanajua kuhusu man u tu, mtoa mada kakosea pakubwa na huku avatar yake ikiwa na nembo ya man u, heheh!!

Nilisahau neno "wa zamani " kabla neno Asenali, nilijuwa watu wa asenali wange react tu kwa kuwa alitoka wakiwa bado wanamhitaji kama ilvyokuwa kwa Nasri, Clich NA Fabregas.
 
umekurupuka jaribu kufikir kabla ya kuweka uzi.uwe na mazoea ya kuakiki ulichoandika itakusahdia.jipe nafas ya kuwa msomaji wa uzi uone tunavyopata shda kukuelewa.

Uzi unaeleweka, kilichokosewa ni jina la timu tu na halikufanyi mtu ukashindwa kuelewa mada, huo ni uongo unless una matatizo ya akili.
 
Las Mas Bobos

Naomba nijibu hata kama haiko directed to me, zomba ataongeza anachokifahamu akiamka lol

1 - Kisheria wanatakiwa wasitumie ubini wa baba
2-Sijui denge ni aina gani za nywele, as long as ni zake mwenyewe hakuna bandia uislam hakuna sheria ya kukataza hiyo hair cut, lakini inawezekana ikawa ni makruh (undesirable thing)
3-Hakuna takaso, they will remain the same lakini kwenye sheria ya mirathi hawarithi. Hii inawagusa zaidi hasa wale wenye nyumba ndogo bila ya ndoa. Kidini watoto wa haramu hawarithi, full stop
4-Wanatoto wao wanakuwa wanahalali kama ndoa ilipita kabla ya kuzaliwa kwao unless wao pia wanafuata mkumbo wa wazee wao
 
Nilisahau neno "wa zamani " kabla neno Asenali, nilijuwa watu wa asenali wange react tu kwa kuwa alitoka wakiwa bado wanamhitaji kama ilvyokuwa kwa Nasri, Clich NA Fabregas.

Mchezaji yeyote akitoka arsenal basi ndo mwisho wake ujue umefika ni nani aliyetoka arsenal na bado akaendelea kuwika? nasri hayupo kwa mipango ya mancini kashaambiwa na sasa anataka kuondoka mcfc, fabregas kaenda barca barca imeanza pata gundu la kukosa vikombe, clichy atleast anacheza mara kadhaa mcfc lakini ndo kashapoteza jina alilojenga arsenal.
 
Las Mas Bobos

Naomba nijibu hata kama haiko directed to me, zomba ataongeza anachokifahamu akiamka lol

1 - Kisheria wanatakiwa wasitumie ubini wa baba
2-Sijui denge ni aina gani za nywele, as long as ni zake mwenyewe hakuna bandia uislam hakuna sheria ya kukataza hiyo hair cut, lakini inawezekana ikawa ni makruh (undesirable thing)
3-Hakuna takaso, they will remain the same lakini kwenye sheria ya mirathi hawarithi. Hii inawagusa zaidi hasa wale wenye nyumba ndogo bila ya ndoa. Kidini watoto wa haramu hawarithi, full stop
4-Wanatoto wao wanakuwa wanahalali kama ndoa ilipita kabla ya kuzaliwa kwao unless wao pia wanafuata mkumbo wa wazee wao

Yote uliosema ni kweli ila kwa kuongezea tu.

1) Baba anaweza kuwapa mali kabla hajafa (kumbuka, "kuwapa" sio kuwarithisha).

2) Hao watoto hawana makosa, "haraam" walioifanya ni hao wazazi wao, wote wawili.
 
Back
Top Bottom