hivi wakati wa ramazani wanafanya mapenzi au la, yani mtu na mkewe waliyefunga ndoa ya kiislam wanaweza kufanya mapenzi wakati wamefunga au mwezi mzima wanakuwa wakame ili kutesti imani yao kama wanaweza kuabstain,....au ukiwa na mke unafanya....mimi hua sijui naomba anayejua tafadhali.
Kolo Toure ni beki wa Manchester City na si Arsenal.
​Inaelekea mleta mada siyo mfuatiliaji mzuri wa EPL.
Habib Kolo Toure Beki wa Arsenal ya England na timu ya Taifa ya Ivory Coast akiwa na "my wife wake" baada ya kufunga ndoa jana.
umekurupuka jaribu kufikir kabla ya kuweka uzi.uwe na mazoea ya kuakiki ulichoandika itakusahdia.jipe nafas ya kuwa msomaji wa uzi uone tunavyopata shda kukuelewa.Habib Kolo Toure Beki wa Arsenal ya England na timu ya Taifa ya Ivory Coast akiwa na "my wife wake" .
hivi wakati wa ramazani wanafanya mapenzi au la, yani mtu na mkewe waliyefunga ndoa ya kiislam wanaweza kufanya mapenzi wakati wamefunga au mwezi mzima wanakuwa wakame ili kutesti imani yao kama wanaweza kuabstain,....au ukiwa na mke unafanya....mimi hua sijui naomba anayejua tafadhali.
zomba, hebu njoo uwasute ma-bi harusi wa siku hizi wa kiislamu. Manake shurti cleavage ioneshwe! Ona huyu alivyojisitiri,lol!
King'asti ni kweli uyasemayo, wengi hufata mkumbo na huwa dunia imewashika kuliko mafundisho ya Kiislaam na ya Kikristo, sidhani kama Wakristo wanaruhusiwa "cleavage" wazi iwe kwenye harusi au si harusi.
Huyu pia kachemsha maana minywele iko wazi, isitoshe ni ya kubandika.