mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 16,099
- 36,043
- Thread starter
- #81
Hatuongelei kufirisika tunaongelea kushuka kimuziki,pdidy na doctor dre wameshuka kimuziki ila bado kiuchumi wako vizuri sanaKwa mtazamo wako unaweza sema kashuka lakini sio kweli. Kof ana utajili mkubwa Sana ni Zaidi ya bilioni 50 za kibingo .Kuimba na akina Nandy kisiwe kigezo Cha kumshusha.