Koffi Olomide amekuwa cheap, amefikia mwisho

Tunaomjua huyu mwamba kuanzia mwanzoni mwa muaka ya 90,hatuna budi kusema amefikia mwisho wa umaarufu.kipimo cha msanii aliyejuu ni kupitia diary yake,wasanii maarufu diary zao ziko full booked mwaka mzima au zaidi,sasa huyu mwamba kwa mwaka hui kazuru Tanzania mara nne kitu ambacho enzi zake isingewezekana,eti Kofi aletwe na mwanamziki wa kariba ya Nandi ale ugali samaki kwenye hotpot za plastic,au ale makande kwa shishi food, aje kuwatumbuiza kina Mama j pale kwa mkapa kwa kiingilio cha buku tano,huyo sio Olomide tunayemjua,mwamba ameshuka status
Wewe jamaa kwahiyo tatizo ilikua kuwatumbuiza kina Yanga pale taifa ndio useme kama kashuka? ...Marekani wasanii wakubwa tu Kina Young Thug ,Migos,Soulja boy tell em,Wiz khalifa sometimes wanafanya show kwenye vyuo vikuu tena kiingilio bure kabisa sembuse hiyo 5000
 
Duu kashuka status kwa kigezo kipi au labda ulitaka apige show venue gani ?

Huwezi niambia mtu aliyepiga show kwenye uwanja wa watu zaidi ya 50elfu ashuke status au labda sababu kafanya show ya YANGA.
Mashabiki wa Mkia FC wanaona gere tu, anachojali Koffi ni mkwanja tu,hayo mengine ni ya nyongeza tu, sijui kwanini Mkia FC wanachuki kisa katumbuiza mashabiki wa Yanga, wamesahau hata Pepe Kale nae aliwahi kuwatumbuiza Yanga wakati wa marehemu Abbasi Gulamali, hawa Mkia wamezoea kutumbuizwa na akina domo na vibaka wa muziki wa singeli, eti Koffi kaisha,hawa jamaa wanafurahisha kwa wivu wao wa kike.
 
Tunaomjua huyu mwamba kuanzia mwanzoni mwa muaka ya 90,hatuna budi kusema amefikia mwisho wa umaarufu.kipimo cha msanii aliyejuu ni kupitia diary yake,wasanii maarufu diary zao ziko full booked mwaka mzima au zaidi,sasa huyu mwamba kwa mwaka hui kazuru Tanzania mara nne kitu ambacho enzi zake isingewezekana,eti Kofi aletwe na mwanamziki wa kariba ya Nandi ale ugali samaki kwenye hotpot za plastic,au ale makande kwa shishi food, aje kuwatumbuiza kina Mama j pale kwa mkapa kwa kiingilio cha buku tano,huyo sio Olomide tunayemjua,mwamba ameshuka status
Hawezi kuwa Olomide ni kolomije
 
We jamaa bogus kabisa, nilitegemea kwenye hoja yako ungeweka kiwango cha pesa alicholipwa kwenye shows alizolipwa Tanzania kumbe unatuletea story za makande, kwani mfano wakiwa wanamlipa mil 30 kwa kila show hata akija mara 10 Tanzania kwa mwaka kuna shida gani?
 
Huyo ni legendary,yupo kwenye miaka sabini sasa,hana Cha kupoteza mchango wake kwenye muziki wa Afrika nicmkubwa sana.
Tangu miaka ya 90,wakati huo Kanda bongo man,aurlus mabele,mbili bell,wenge,wengine wote wamepotea,yeye Bado yupo na moto ule ule,
Hata akiamua kupumzika sasa hv,vita amevipigana
Olomide ana miaka 66 kaanza muziki 1979
 
Unavyokuwa mtu mzima.. maringo huwa yanaisha automatically. Kutokana na experience na mafunzo uliyoyapata maishani. Kwa umri wa koffi ameshazika marafiki na ndugu zake wengi sana .

Mtu mzima anakuwa anajua siku zake za kuishi zimefikia ukingoni.. anaamua kujipa raha na kuwapa watu raha maana hana cha kupoteza..

Kwa mtu kama koffi ambaye ameshatafuta hela sana ujanani... ana kila kitu.. koffi wa sasa hivi hawazi kujenga nyumba wala kununua gari.. anachowaza ni yeye kujipa raha na kuwapa watu wanaompenda raha.. hata kama kwa hela ndogo yeye hana hasara.. maana kusafiri safiri napo ni kujipa raha ya kukutana na mashabiki wake na kuwapa raha...

Koffi anamwona nandy kama mmojawapo wa washabiki wake. Na kwa heshima nandy anayompa koffi kofi hata hajali vyombo vya plastiki wala nini.. hata bill gates alivyokuja tanga alikula wali maharage huku ana smile kwenye sahani ya ajabu. Ama tajiri akiwa na ndugu zake anakula chakula bila maringo hata kama juu ya majani ya mgomba
Well said.
 
kudeal na mbongo ni kazi ngumu jamani.


yaani namhurumia huyo mama hapo juu,analala amechoka sana
 
Kwa hapa Afrika kwa sasa Koffi ni chuo kikuu cha muziki. Mzee anagawa ujuzi na anawapa watu burudani. Watu wanaenda kwa kofi kujifunza muziki na kupata uzoefu.

Koffi ameanza kuimba mwaka 1975, miaka 46 iliyopita.

Kwa vile koffi alipitia kwenye mikono ga mtaalamu Franco Luambo Makiadi akampika na yeye anaamua kupika vijana na kuwagawia ujuzi.

Tusisahau Koffi ana master degree ya hesabu. Bado koffi hawezi kulala njaa, muziki ukigoma anarudi chuo kikuu kufundisha hesabu na ma formula ya hesabu yale magumu magumu 😂.
 
Kwa hapa Afrika kwa sasa Koffi ni chuo kikuu cha muziki. Mzee anagawa ujuzi na anawapa watu burudani. Watu wanaenda kwa kofi kujifunza muziki na kupata uzoefu.

Koffi ameanza kuimba mwaka 1975, miaka 46 iliyopita.

Kwa vile koffi alipitia kwenye mikono ga mtaalamu Franco Luambo Makiadi akampika na yeye anaamua kupika vijana na kuwagawia ujuzi.

Tusisahau Koffi ana master degree ya hesabu. Bado koffi hawezi kulala njaa, muziki ukigoma anarudi chuo kikuu kufundisha hesabu na ma formula ya hesabu yale magumu magumu 😂.
,mdukuzi yeye anachomiliki ni nyeti zake tu
 
Tunaomjua huyu mwamba kuanzia mwanzoni mwa muaka ya 90,hatuna budi kusema amefikia mwisho wa umaarufu.kipimo cha msanii aliyejuu ni kupitia diary yake,wasanii maarufu diary zao ziko full booked mwaka mzima au zaidi,sasa huyu mwamba kwa mwaka hui kazuru Tanzania mara nne kitu ambacho enzi zake isingewezekana,eti Kofi aletwe na mwanamziki wa kariba ya Nandi ale ugali samaki kwenye hotpot za plastic,au ale makande kwa shishi food, aje kuwatumbuiza kina Mama j pale kwa mkapa kwa kiingilio cha buku tano,huyo sio Olomide tunayemjua,mwamba ameshuka status
Kwa mtazamo wako unaweza sema kashuka lakini sio kweli. Kof ana utajili mkubwa Sana ni Zaidi ya bilioni 50 za kibingo .Kuimba na akina Nandy kisiwe kigezo Cha kumshusha.
 
Duu kashuka status kwa kigezo kipi au labda ulitaka apige show venue gani ?

Huwezi niambia mtu aliyepiga show kwenye uwanja wa watu zaidi ya 50elfu ashuke status au labda sababu kafanya show ya YANGA.
Jamaa hajafanya uchunguzi kwa makini Boss ya Mboka anautajili wa Zaidi ya bilioni 50 pesa za kibongo.
 
Back
Top Bottom