Tunaomba hayo makubaliano. Bado tunajadili goli la Yanga walilonyimwa😁😁kama mnavyojua malengo waliyoku aliana Simba na Bechika ni kuipeleka simba nusufainali na sasa kafeli hivyo amebreach mkataba,hivyo uongozi na eye benchika watajadili jinisi ya kua Hana Kwa amani.
je hiyo hatua ya kutaka kusitisha mktaba wa benchika ni sawa ukichukulia aina ya team aliyopewa??
Benchikha katokea tu kukubalika kwenye mioyo ya wanasimba ila kimbinu ni mweupe. Simba ilikuwa na kikosi kibovu sio tu msimu huu ni misimu miwili nyuma lakini hawakutolewa robo fainali kwa kipigo kitakatifu kiasi hiko. Robertinho aliweza ku battle na Al Ahly game zote mbili kwa mbinu sio kwa kikosi.Simba Ina kocha mzuri, ila Haina wachezaji wanaoendana na ubora wake.
Usajili wa maana unahitajika, siyo levo za wachezaji wengi waliopo Simba SC.
Kwa hiyo mangungu ndio mtimuaji mwenyewe kabla hajamtimua ajiaze yeye kutimuliwakama mnavyojua malengo waliyoku aliana Simba na Bechika ni kuipeleka simba nusufainali na sasa kafeli hivyo amebreach mkataba,hivyo uongozi na eye benchika watajadili jinisi ya kua Hana Kwa amani.
je hiyo hatua ya kutaka kusitisha mktaba wa benchika ni sawa ukichukulia aina ya team aliyopewa??
Hapa ni suala la mktaba na target basiKwa hiyo mangungu ndio mtimuaji mwenyewe kabla hajamtimua ajiaze yeye kutimuliwa
nyie mbumbumbu ya wengine huwa mnayaacha?Mazuzu FC huku tuachieni sisi hayawahusu..
POLE SANA"MASHABIKI WA YANGA NI MAMBWA HAKUNA LOLOTE WANALOJUA KUHUSU KANDANDA ILA MUDA WOTE WANAZOMEA TU UTADHANI MANYANI"
- DR LUC EYMAEL 2020
Wewe umesikia wapi?????Kama mnavyojua malengo waliyoku aliana Simba na Bechika ni kuipeleka simba nusufainali na sasa kafeli hivyo amebreach mkataba,hivyo uongozi na eye benchika watajadili jinisi ya kua Hana Kwa amani.
Je, hiyo hatua ya kutaka kusitisha mktaba wa benchika ni sawa ukichukulia aina ya team aliyopewa?