Kocha Mwinyi Zahera aitwa Kamati ya Maadili kwa kukosa nidhamu

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Aug 24, 2011
49,206
103,779
Kocha Mwinyi Zahera wa Klabu ya Yanga SC ni kati ya watu tisa waliopelekwa mbele ya Kamati ya Nidhamu ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kwa makosa ya nidhamu baada ya Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) kuwasilisha malalamiko dhidi yao.
.
- Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa jana na TFF, baadhi ya viongozi, makocha na wachezaji wamepekwa kwenye kamati hiyo sambamba na Zahera ambaye mara kadhaa amekunuliwa akiilalamikia TPBL hasa kuhusiana na viporo vya watani zao na waamuzi.
.
- Mbali na Zahera, wengine waliopelekwa Kamati ya Nidhamu ni Athuman Bilal wa Stand United, Nassoro Mrisho (Geita Gold FC) na Ramadhani Nsanzurwimo (Mbeya City).
Viongozi ni Herry Chibakasa wa Friends Rangers, Mohamed Hussein (Kagera Sugar), Walter Harrison (KMC) na Hussein Salehe wa Geita Gold wakati mchezaji aliyelalamikiwa ni Deus Tulusubya wa Pamba; Kamati hiyo ya TFF inatarajiwa kukutana na kutoa maamuzi Jumapili ya wiki hii..

Kwa upande wake Mwinyi Zahera amesema kuwa waandishi wa habar za michezo Tanzania wanatumia vifaa feki kurekodi sauti za watu na kuzipeleka katika Media na mtandaoni Zahera amesema anahitaji kuandaa Studio au kutafuta Studio atakayotumia kurekodi sauti yake ndipo iende katika Media na mitandao ya kijamii sababu waandishi wengi wanarekodi sauti yake na inasikika vibaya vifaa vyao feki wandishi wa habar watamtafuta moja kwa moja akiwa Studio
 
Kocha Mwinyi Zahera wa Klabu ya Yanga SC ni kati ya watu tisa waliopelekwa mbele ya Kamati ya Nidhamu ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kwa makosa ya nidhamu baada ya Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) kuwasilisha malalamiko dhidi yao.
.
- Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa jana na TFF, baadhi ya viongozi, makocha na wachezaji wamepekwa kwenye kamati hiyo sambamba na Zahera ambaye mara kadhaa amekunuliwa akiilalamikia TPBL hasa kuhusiana na viporo vya watani zao na waamuzi.
.
- Mbali na Zahera, wengine waliopelekwa Kamati ya Nidhamu ni Athuman Bilal wa Stand United, Nassoro Mrisho (Geita Gold FC) na Ramadhani Nsanzurwimo (Mbeya City).
Viongozi ni Herry Chibakasa wa Friends Rangers, Mohamed Hussein (Kagera Sugar), Walter Harrison (KMC) na Hussein Salehe wa Geita Gold wakati mchezaji aliyelalamikiwa ni Deus Tulusubya wa Pamba; Kamati hiyo ya TFF inatarajiwa kukutana na kutoa maamuzi Jumapili ya wiki hii..

Kwa upande wake Mwinyi Zahera amesema kuwa waandishi wa habar za michezo Tanzania wanatumia vifaa feki kurekodi sauti za watu na kuzipeleka katika Media na mtandaoni Zahera amesema anahitaji kuandaa Studio au kutafuta Studio atakayotumia kurekodi sauti yake ndipo iende katika Media na mitandao ya kijamii sababu waandishi wengi wanarekodi sauti yake na inasikika vibaya vifaa vyao feki wandishi wa habar watamtafuta moja kwa moja akiwa Studio
Zahera hajawai kuwa mnafiki, anazungumza ukweli mtupu, ila sisi watanzania baadhi yetu tumezoea uongo, kujikomba, na majungu. TFF kama watu wanao waambia ukweli wakiendelea kuwachukia mtaendelea kuharibu Mpira wa Tanzania. Kwa uwezo wa Kocha kama Zahera kufundisha mpira Tanzania ni kujiharibia, apa kwetu mpira unaongozwa na watu wengi wa hovyohovyo mwishoe na Zahera utakua kama sisi.
 
Zahera hajawai kuwa mnafiki, anazungumza ukweli mtupu, ila sisi watanzania baadhi yetu tumezoea uongo, kujikomba, na majungu. TFF kama watu wanao waambia ukweli wakiendelea kuwachukia mtaendelea kuharibu Mpira wa Tanzania. Kwa uwezo wa Kocha kama Zahera kufundisha mpira Tanzania ni kujiharibia, apa kwetu mpira unaongozwa na watu wengi wa hovyohovyo mwishoe na Zahera utakua kama sisi.


Hawezi kuwa mkweli kuliko watu watu waliopo au waliwahi kuwepo Tanzania. Sio kila mtu aliyekimya ni mjinga au anaridhika na kila kitu kilichopo TFF. Hata huko Yanga yeye Zahera ameshindwa kumtetea mfanyakazi Benno Kakolanya aliyekuwa MKWELI kwa kudai haki yake tu.

Halafu huyu Zahera inaonekana anapewa promo sana kuwa hafai kufundisha mpira Tanzania, kwa nini amekuja?
 
Zahera hajawai kuwa mnafiki, anazungumza ukweli mtupu, ila sisi watanzania baadhi yetu tumezoea uongo, kujikomba, na majungu. TFF kama watu wanao waambia ukweli wakiendelea kuwachukia mtaendelea kuharibu Mpira wa Tanzania. Kwa uwezo wa Kocha kama Zahera kufundisha mpira Tanzania ni kujiharibia, apa kwetu mpira unaongozwa na watu wengi wa hovyohovyo mwishoe na Zahera utakua kama sisi.
Ko Zahera ni msema ukweli au unatetea tu upumbuvu?
Huyu Zahera si ndo alisema Yanga itachukua ubingwa lakini juzi hapa anakana kauli zake,sasa ukweli wake hapo ni nini?
Huyu Zahera alifukuza Nadir kwa tuhuma ambazo si za kweli, lakini unasema ni msema ukweli?
Sasa ka ni msema kweli ndo mana ameitwa kwenye kamati ya nidhamu ili ajieleze ukweli wake kwa kuthibitisha tuhuma anazozitoa.
Mwacheni aende awasaidie kutoa ushahidi wa tuhuma anazozitoa
 
Hii sinema kama ya lie karmo maarufu wa dhaifu
Kocha Mwinyi Zahera wa Klabu ya Yanga SC ni kati ya watu tisa waliopelekwa mbele ya Kamati ya Nidhamu ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kwa makosa ya nidhamu baada ya Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) kuwasilisha malalamiko dhidi yao.
.
- Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa jana na TFF, baadhi ya viongozi, makocha na wachezaji wamepekwa kwenye kamati hiyo sambamba na Zahera ambaye mara kadhaa amekunuliwa akiilalamikia TPBL hasa kuhusiana na viporo vya watani zao na waamuzi.
.
- Mbali na Zahera, wengine waliopelekwa Kamati ya Nidhamu ni Athuman Bilal wa Stand United, Nassoro Mrisho (Geita Gold FC) na Ramadhani Nsanzurwimo (Mbeya City).
Viongozi ni Herry Chibakasa wa Friends Rangers, Mohamed Hussein (Kagera Sugar), Walter Harrison (KMC) na Hussein Salehe wa Geita Gold wakati mchezaji aliyelalamikiwa ni Deus Tulusubya wa Pamba; Kamati hiyo ya TFF inatarajiwa kukutana na kutoa maamuzi Jumapili ya wiki hii..

Kwa upande wake Mwinyi Zahera amesema kuwa waandishi wa habar za michezo Tanzania wanatumia vifaa feki kurekodi sauti za watu na kuzipeleka katika Media na mtandaoni Zahera amesema anahitaji kuandaa Studio au kutafuta Studio atakayotumia kurekodi sauti yake ndipo iende katika Media na mitandao ya kijamii sababu waandishi wengi wanarekodi sauti yake na inasikika vibaya vifaa vyao feki wandishi wa habar watamtafuta moja kwa moja akiwa Studio
 
Ko Zahera ni msema ukweli au unatetea tu upumbuvu?
Huyu Zahera si ndo alisema Yanga itachukua ubingwa lakini juzi hapa anakana kauli zake,sasa ukweli wake hapo ni nini?
Huyu Zahera alifukuza Nadir kwa tuhuma ambazo si za kweli, lakini unasema ni msema ukweli?
Sasa ka ni msema kweli ndo mana ameitwa kwenye kamati ya nidhamu ili ajieleze ukweli wake kwa kuthibitisha tuhuma anazozitoa.
Mwacheni aende awasaidie kutoa ushahidi wa tuhuma anazozitoa
Wewe unafikiri kwanini ameitwa kamati ya maadili au sijui madili?
Tuanzie hapo kwanza.
 
Ko Zahera ni msema ukweli au unatetea tu upumbuvu?
Ni msema kweli.
Huyu Zahera si ndo alisema Yanga itachukua ubingwa lakini juzi hapa anakana kauli zake,sasa ukweli wake hapo ni nini?
Ni kocha wa mpira na siyo hakimu, padre, shehe au mbunge. Sasa kwenye mpira kusema utashinda hata wakija Barcelona ni ajabu? hayo ni maneno ya kawaida. mbona kocha wenu beberu alisema ataitoa TP Mazembe?
Huyu Zahera alifukuza Nadir kwa tuhuma ambazo si za kweli, lakini unasema ni msema ukweli?
Hakumfukuza kwa sababu Nadir hayupo chini yake. nadir alishaulizwa akakanusha. hizo ni stories za vijiweni.
Sasa ka ni msema kweli ndo mana ameitwa kwenye kamati ya nidhamu ili ajieleze ukweli wake kwa kuthibitisha tuhuma anazozitoa.
Mwacheni aende awasaidie kutoa ushahidi wa tuhuma anazozitoa
Sasa tunataka tuzijue hizo tuhuma ni zipi? Inaelekea wewe unazijua.
 
Ni msema kweli.

Ni kocha wa mpira na siyo hakimu, padre, shehe au mbunge. Sasa kwenye mpira kusema utashinda hata wakija Barcelona ni ajabu? hayo ni maneno ya kawaida. mbona kocha wenu beberu alisema ataitoa TP Mazembe?

Hakumfukuza kwa sababu Nadir hayupo chini yake. nadir alishaulizwa akakanusha. hizo ni stories za vijiweni.

Sasa tunataka tuzijue hizo tuhuma ni zipi? Inaelekea wewe unazijua.
Kwanza wewe unaonekana muongo unasema kusema tutanfunga Barcelona ni maneno ya kawaida sasa kwa nini uyakatae ka ulisema?
Pili, issue ya Nadir, Nadiri yeye alikanusha tuhuma za kusema anaihujumu Yanga. Ndo mana alisema mi narudi kwa sababu Zahera sio mwajiri wake.
Afu unauliza tuhuma za Zahera kwa TFF kwani wametoa tuhuma wanazomtuhumu?
Au wewe unazijua hadi unasema Zahera ni msema kweli?
Ka ni msema kweli aende akawasaidie TFF kuuweka huo ukweli wake.
Mimi sioni sababu ya kuwalaumu TFF mana wanataka waujue ukweli wa Zahera mana si ni msema kweli?
 
Zahera hajawai kuwa mnafiki, anazungumza ukweli mtupu, ila sisi watanzania baadhi yetu tumezoea uongo, kujikomba, na majungu.
Unafiki si lazima kuisema TFF. Hata kuongea maneno yanayokinzana na maneno yako mwenyewe uliyowahi kuyasema nao ni unafiki. Alipopeleka kikosi cha pili Mapinduzi Cup kule Zanzibar, alisema lengo lake ni kukibakisha kikosi A Dar ili kukiandaa kutimiza malengo ya kuchukua vikombe vitatu; Ubingwa wa Bara, Kombe la Azam (shirikisho) na Sportspesa Super Cup. Juzi badala ya kukiri malengo hayajatimia, anasema hayakuwa malengo yake kuchukua ubingwa, na akaenda mbali zaidi kusema kwamba kwenye ligi ya Bara, malengo yake yalikuwa kushika kati ya nafasi ya tano hadi ya kumi !
 
Zahera hajawai kuwa mnafiki, anazungumza ukweli mtupu, ila sisi watanzania baadhi yetu tumezoea uongo, kujikomba, na majungu. TFF kama watu wanao waambia ukweli wakiendelea kuwachukia mtaendelea kuharibu Mpira wa Tanzania. Kwa uwezo wa Kocha kama Zahera kufundisha mpira Tanzania ni kujiharibia, apa kwetu mpira unaongozwa na watu wengi wa hovyohovyo mwishoe na Zahera utakua kama sisi.
Kuitelekeza timu Iringa na kwenda kuungana na As Vita sio Unafiki ule?
 
a ni msema kweli aende akawasaidie TFF kuuweka huo ukweli wake.
Mimi sioni sababu ya kuwalaumu TFF mana wanataka waujue ukweli wa Zahera mana si ni msema kweli?
Ukweli wa Zahera kuhusu nini?? Mbona unakwepa swali?
 
Kwanza wewe unaonekana muongo unasema kusema tutanfunga Barcelona ni maneno ya kawaida sasa kwa nini uyakatae ka ulisema?
akikataa au kukubali kuna tofauti gani? Hayo maneno ya mpirani. Mbona alisema hajui kama lini Yanga inacheza na Simba. We unadhani yale maneno ya ukweli?? Au we mgeni kwenye hii game.
Pili, issue ya Nadir, Nadiri yeye alikanusha tuhuma za kusema anaihujumu Yanga. Ndo mana alisema mi narudi kwa sababu Zahera sio mwajiri wake.
Hayo maneno yako.
 
Labda hujaelewa swali, unajua alichoitiwa TFF?
Mi sijui, ninachojua ameitwa kwenye kamati ya nidhamu.
Afu wewe unaonekana unamjibu mtu bila kujua huyo aliyepost anamaana gani?
Mi nilikua namjibu mtu aliyesema kua Zahera ni mkweli.
Sasa wewe unaniuliza mi ka najua ameitiwa nini?
Mi nilimjibu kua ka ni mkweli ndo vizri aende TFF akaisadie kamati ya Nidhamu
 
Hawezi kuwa mkweli kuliko watu watu waliopo au waliwahi kuwepo Tanzania. Sio kila mtu aliyekimya ni mjinga au anaridhika na kila kitu kilichopo TFF. Hata huko Yanga yeye Zahera ameshindwa kumtetea mfanyakazi Benno Kakolanya aliyekuwa MKWELI kwa kudai haki yake tu.

Halafu huyu Zahera inaonekana anapewa promo sana kuwa hafai kufundisha mpira Tanzania, kwa nini amekuja?

Dah...kumtaja Beno Kakolanya umekosea mno...Beno Kakolanya ni msaliti...ameisaliti timu...Watu wa Simba baada ya kuona Yanga inafanya vizuri wakamtumia meneja/wakala wa Kakolanya ambaye ni kiongozi (huyo meneja/wakala) wa Simba ili amshawishi aondoke Yanga na kwa kufanya hivyo kuidhoofisha Yanga...Kakolanya anaondoka kambini usiku wa manane bila taarifa kwa meneja wa Yanga wala kocha...huyo Kakolanya ni msaliti...hatakiwi Yanga...aende huko Simba akadake...hivi unafikiri askari akiondoka kambini wakati wa vita atafanywa nini...tafakari mwenyewe....Ni kweli Yanga ilidhoofika baada ya kutoka huyo Kakolanya, lakini heri kufungwa kuliko kuwa na msaliti ndani ya timu.
 
Back
Top Bottom