Kocha mwafrika/mweusi aliyewah pata Mafanikio makubwa Kimataifa

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Jul 29, 2013
10,467
23,754
Afrika imekuwa ikitoa wachezaj wazuri wenye sifa kubwa toka miaka ya akina asprilla,okocha,etoo,t.henry,drogba n.k

Najiuliza katika miaka yote Hii ni kocha gani mwafrika kabisa ambaye amewah fanya vyema Kwenye mashindano kama kombe la dunia au mabara. Alikuwa na team gani iwe ya afrika, ulaya au marekani.

Naomba nisaidiwe hilo tafadhali
 
Ruud Gullit, alikuwa coach wa New Castle United lakini Alan Shirley alimsukia zengwe mpaka akatolewa.
 
Ruud Gullit, alikuwa coach wa New Castle United lakini Alan Shirley alimsukia zengwe mpaka akatolewa.
Shirley ndio Jina gani tena hilo? Kuna Kocha aliitwa Jean Tigana From France
Atp9I.jpg



French coach Jean Tigana shows off a Shanghai Shenhua Football team jersey after signing a contract to coach the team in Shanghai on December






https://www.google.com/url?sa=i&rct...z0UXKWXaCvCtZQRfc4vNbCOg&ust=1464194625267103

https://www.google.com/url?sa=i&rct...z0UXKWXaCvCtZQRfc4vNbCOg&ust=1464194625267103

.
Nicolas Anelka to help struggling Jean Tigana coach Shanghai ...

Nicolas Anelka has been added to the coaching staff at Shanghai Shenhua after their poor start to the season. Photograph: Shanghai Shenhua Club/AFP
 
September 19, 2014

FIFA names Keshi best African coach

upload_2016-5-24_17-53-40.png

Photo:Nigeria Super Eagles Coach, Stephen Keshi.

Nigeria Super Eagles Coach, Stephen Keshi, has been ranked the number one coach in Africa and 14th in the world.

He is followed closely at number two by his West African counterpart and former Ghanaian coach, Kwesi Appiah.

Keshi, who also won the Confederation of African Football, CAF, best coach of the year in 2013, has coached the national teams of Mali, Togo and, currently, Nigeria.

He coached the Super Eagles to winning the 2013 Africa Cup of Nations after a 19-year trophy drought. He also led the team to the 2014 FIFA World Cup in Brazil where it was knocked out by France in the round of 16.

Keshi, who is yet to sign a new contract with the Nigeria Football Federation, was a former Super Eagles defender in his playing days. He is one of only two people, along with Egypt’s Mahmoud El-Gohary, who has won the Africa Cup of Nations as a player and then a coach.

The rating was made by the ‘Football Coach World Ranking’ on Friday afternoon.

In the world rating, the current German National Coach, Joachim Low, placed at number one followed by the Spain’s head coach, Vicente Del Bosque, whose team had a poor outing at the World Cup in Brazil.

Here is the list of 32 out of the top 50 National team Coaches for September 2014:
1.Joachim Low
2.Del Bosque
3.C.Prandelli
4.Paolo Jorge Gomes Bento
5.Jurgen Klinsmann
6.L Van Gaal
7.Fernando Santos
8.Jose Pekerman
10.Jose Manuel de la Torre
11.Luis Felipe Scolari
12.Jorge Luis Pinto
13.Marc Wilmots
14.Stephen Keshi
15.N Pumpido
16.Reinaldo Rueda
17.Ottmar Hitzfeld
18.Julio Valdes
19.Safet Susic
20.Alberto Zaccheroni
21.D.Deschamps
22.Eric Hamren
23.Alejandro Sabella
24.Fernando Suarez
25.Sergio Apraham
26.Jorge Sampaoli
27.Morten Olsen
28.Fabio Capello
29.R.Hodgson
30.Bob Bradley
31.Cesar Farias
32.James Kwesi Appiah

Source: FIFA names Keshi best African coach - Premium Times Nigeria
 

Attachments

  • upload_2016-5-24_17-54-40.png
    upload_2016-5-24_17-54-40.png
    86.8 KB · Views: 34
  • upload_2016-5-24_17-54-55.png
    upload_2016-5-24_17-54-55.png
    86.8 KB · Views: 32
asprila ametoka bara la Amerika ya kusini unataja magwiji wa Soka Afrika unamuacha George Opong Weah aliewahi kuwa Mchezaji pekee wa Dunia...
 
Kuna wengi hawajui kuwa kocha msaidizi wa Madrid ni Mwafrika, Hamidou Msaidie. Inajulikana ana asili ya Afrika Mashariki, hasa Zanzibar. Ndo kocha masaidizi wa Zidane katika mambo mengi sana. Inajulikana kuwa yeye ni daktari wa majeraha, kocha na mkimbiaji mahiri sana. Ndo maana Zidane baada ya kupata nafasi ya kufundisha timu alikwenda kumchukua, ili awe msadidizi wake.
Hamidou Msaidie, el chamán de Zidane en el Real Madrid

Real Madrid : Hamidou Msaidié, un comorien au Real !! | Comores Actualites - Habari za Comores et Za massiwa

Afrika imekuwa ikitoa wachezaj wazuri wenye sifa kubwa toka miaka ya akina asprilla,okocha,etoo,t.henry,drogba n.k

Najiuliza katika miaka yote Hii ni kocha gani mwafrika kabisa ambaye amewah fanya vyema Kwenye mashindano kama kombe la dunia au mabara. Alikuwa na team gani iwe ya afrika, ulaya au marekani.

Naomba nisaidiwe hilo tafadhali
 
Sorry kwa henry,asprilla hawa nliwataja kwa rang zao. But ni kwel kuna akina george weah,roger milla n.k
 
  • Thanks
Reactions: Cyk
Back
Top Bottom