Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,930
- 22,085
Nimejiuliza huyu bwana anatumia uchawi ama lah
nikajaribu kuona huko nyuma amekuwa akibwabwaja kwenye redio apewe kazi na
kweli viongozi wa tff wanampa anaaribu anaishia kwenye matangazo ya redio
majuzi amepiga porojo sana na mbaya zaidi amekuwa akimtumia mlevi mwenzake mtangazaji
wa redio one kubwabwaja kwamba wazawa wanaweza kushika timu ya taifa na kufanya maajabu
mbaya wiki moja kabla alikuwa na mlevi mwenzake pale breakpoint kwenye kona wana kijiwe cha kihuni
gafla yule mbunge nasmikia jamani anaropoka bungeni wazawa wawezeshwe kupewa timu ya taifa loh
sasa kama watu wabnakaa bar na kulazimisha sehemu zao za kazi kuwaweka wahuni kwenye timu yetu tutaacha lini aka kamchezo nakupongeza sana kwa jinsi unavyoweza kuziteka akili za wah kama tenga na wenzake
ninahakika si mbali tutakupa tena utupeleke kule gabon
inshallah
nikajaribu kuona huko nyuma amekuwa akibwabwaja kwenye redio apewe kazi na
kweli viongozi wa tff wanampa anaaribu anaishia kwenye matangazo ya redio
majuzi amepiga porojo sana na mbaya zaidi amekuwa akimtumia mlevi mwenzake mtangazaji
wa redio one kubwabwaja kwamba wazawa wanaweza kushika timu ya taifa na kufanya maajabu
mbaya wiki moja kabla alikuwa na mlevi mwenzake pale breakpoint kwenye kona wana kijiwe cha kihuni
gafla yule mbunge nasmikia jamani anaropoka bungeni wazawa wawezeshwe kupewa timu ya taifa loh
sasa kama watu wabnakaa bar na kulazimisha sehemu zao za kazi kuwaweka wahuni kwenye timu yetu tutaacha lini aka kamchezo nakupongeza sana kwa jinsi unavyoweza kuziteka akili za wah kama tenga na wenzake
ninahakika si mbali tutakupa tena utupeleke kule gabon
inshallah